Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, December 27, 2011

Vitamin

Kitu cha Pharmacy:
Mama: Nimekuja nunua vitamin kwa ajili ya wanangu.
Muuzaji: Ipi sasa? Vitamin A, B, C?
Mama: We nipe iliopo hawajui kusoma bado.

Bondia aporwa

Bondia alienda kituo cha polisi:
Bondia: Nimeibiwa laki sita na kibaka hapo njiani.
Polisi: We si bondia imekuwaje umemuachia?
Bondio: Siwezi weka pambano kwa bei ndogo ivo.

Kipofu na gazeti

"unajua sikuelewi, umesema we ni kipofu na mbona unasoma gazeti hapo?" Mwanamke aliuliza.
Jamaa akajibu "hapana umeshindwa nielewa sisomi gazeti hapa naangalia picha tu."

Petroli

Mwanaume: Daktari mke wangu kanywa petroli ana kimbia kimbia tu ndani nifanyeje?
Dokta: Funga milango na madirisha yote petroli ikiiisha atasimama.

Duka la madawa

Dukani yanapouzwa madawa:
Mteja: aunauza hii dawa?
Muuzaji: Ndio.
Mteja: Ni feki hii na sumu.
Muuzaji: Lakini hamna alielalamika kabisa.
Mteja: Uliona wapi maiti inalalamika?

Monday, December 26, 2011

Mabox

Mzee mwenye nyumba asubuhi baada ya pombe za jana kuisha akinena kwake "we mama ibu na haya mabox meengi ivi nje ya nini kama sio uchafu?"
Mke akamjibu: Mume wangu leo si boxing day? Hivyo nimekusanya mabox yoote dukani kwa mangi.

Ndio kwaanza

Ndani ya chumba cha upasuaji:
Mgonjwa: Dokta tafadhali fanya upasuaji vizuri hii ndio operation yangu ya kwanza.
Dokta: Usijli hata mimi ni operation yangu ya kwanza.

Specialist

Mgonjwa: Dokta nimekuja nahisi nna homa.
Dokta: Oh, nenda nyumbani kalale kwenye maji ya baridi sana kesho uje.
Mgonjwa: Sasa si ntapata nimonia?
Dokta: Najua, na mimi ni Speshalisti wa nimonia.

Maongezi ya bar

Bar na maongezi:
Rafiki 1: Glass yako ipo tupu, nikuongezee ingine?
Rafiki 2: Glass tupu siitaki labda kama ina bia.

Stori ya kifo

Jamaa akimsimulia mwenzake kifo cha mtu wakiemfahamu wote wawili:
Kijana 1: Jamaa kafa akiwa usingizini dah.
Kijana 2: Sasa akiamka atajuaje kama keshakufa?

Sunday, December 25, 2011

Kwenda xmas

Mtoto: Mama! Baba si ameenda xmas?
Mama: Ndio mwanangu.
Mtoto: Mpigie simu muambie mbona xmas yeye amekuja huku?

Xmas

Chekazone inawatakia wadau wote Heri ya Krismas.
Kucheka ni moja ya kuwa na afya njema.
Mungu awatangulie kwa kila jambo.

Saturday, December 24, 2011

Washua nao...

Mshua mmoja akimuuliza mwenzake baada ya kukutana airport, "rafiki yangu unaenda wapi tena?"
Mshua nae akajibu "nna hisi nna ka-malaria naenda india kucheki."

Ombaomba tajiri

Ombaomba: Nimeandika njia 100 za kuwa tajiri.
Mpita njia: Sasa mbona unaomba bado?
Ombaomba: Hii ni njia mojawapo ya kuwa tajiri.

Masumbwi

Kwenye masumbwi:
Kocha: Kwa nini hauzuii ngumi za mpinzani wako?
Mpiganaji: We huoni nnkivyozizuia kwa uso wangu?

Mpenda bia

Jamaa: Ndugu yangu kwa nini unapenda sana bia?
Mlevi: We hujui? Bia ni tamu mno.
Jamaa: Tamu mno kama nini sasa?
Mlevi: Tamu kama bia.

Friday, December 23, 2011

Walevi bwana

Walevi wawili maongezini:
Mlevi 1: Nna mpango wa kuinunua Dunia.
Mlevi 2: Mhh! Huwezi...
Mlevi 1: Kwa nini siwezi?
Mlevi 2: Siiuzi tu.

Si kavunja cha kale

Mhusika wa jumba la mambo ya kale akilalamika "Umevunja seti ya vikombe vilivyotumika miaka 800 iliyopita."
Mgeni/mtalii: Oh asante Mungu mi nlijua ni vipya.

Fundi aje...

Rafiki: Ulisema ungemleta fundi kengele ya, mlangoni siku tatu zilizopita nkaona kimya.
Rafiki 2: Nlimtuma na alikuja akabonyeza kengele wee hamna aliemfungulia.

Tip...

Mhudumu akipewa tip baada ya kumpokea mgeni hadi kwenye chumba cha hotel.
Mhudumu: Mh mh! Mzee tip kidogo.

Mzee akampatia 100Tsh.
Mhudumu: Mzee hapa kama unanitukana angalau ingekua 200Tsh.
Mzee: Siwezi kukutukana mara mbili.

Nani anachapwa?

Kijana: Kwanini ukifanya kosa baba ako anamchapa kaka ako?
Kijana: Tuko mapacha

Mtoto wa nani?

Mwanamke 1: Nna wasi wasi mume wangu anani-cheat.
Mwanamke 2: Unahisi nini haswaa?
Mwanamke 1: Watoto wawili wa mwisho nlowazaa hajafanana nae.

Jumba la makumbusho

Walipoeenda kusoma vikaratasi vya maoni ya wageni watembeleao jumba la makumbusho, walikuta kikaratasi kimeandikwa hivi:

"Kulikua na mvua kubwa nje, ndio maana nkaingia humu. Asanten kwa hifadhi"

Tangazo mume

Mwanamke 1: Nliona tangazo gazetini umetanga kumchoka mumeo ?
Mwanamke 2: Nimepata barua 200 zikisema nichukue waume zao.

Thursday, December 22, 2011

Kupima damu

Jamaa alienda pima malaria, nesi akamtoboa damu ikawa haitoki, akatoboa tena ikawa vile vile. Nesi akaamua kunyonya kidole ili itoke.
Jamaa kuona vile akanena "nesi na mkojo hautoki"

Msosi fasta

Jamaa akimsimulia jambo mwenzake "aisee dah! Ile hotel iko fasta kukuandalia msosi sijawahi ona."
Mwenzake akamjibu "hehe we hujui? Mwenye hotel anafuga simba wawili jikoni"

Wezi wawili

Mwizi 1: Tumesahau kuhesabu pesa kiasi gani tumeiba.
Mwizi 2: Ondoa shaka kesho magazeti yatasema ni Tsh ngapi?

Ndani ya lecture

Mwanafunzi 1: Ukweli sielewi kabisa Prof. Anachotufundisha.
Mwanafunzi 2: Prof. Mwenyewe anasemaga hajui anachotufundisha.

Huyu nae

Mpita njia: umesema umepoteza pochi ndani sasa mbona upo nje unaitafuta?
Mpoteza pochi amajibu: Ndani kuna giza siwezi iona.

Walevi wawili

Walevi wawili walikiongea njiani kurudi makwao:
Mlevi 1: Hiivi nani wanakua wasikilizaji pande zote mke na mume wakipayukiana?
Mlevi 2: Aah iyo simpoo si majirani...

Hakimu na mtuhumiwa

Hakimu: Mara ya mwisho nlikuonya usirudi tena hapa mahakamani hujanisikia.
Mtuhumiwa: Mh. Hakimu niliwaambia hawa polisi ila hawakunisikiliza.

"Diet"

Jamaa akipewa ushauri na dokta "sasa uanze diet, pata yai 1 tu na nusu kikombe cha maziwa"
Mpewa ushauri akauliza "sawa dokta, nifanye ivyo kabla au baada ya lunch?"

Liniumezaliwa?

Mwalimu: Fred umezaliwa tarehe ngapi?
Fred: Tarehe 26 Septemba.
Mwalimu: Mwaka gani?
Fred: Kila mwaka.

Wednesday, December 21, 2011

Mtu na mdeni wake

Jamaa alikua anamdai rafiki yake hela yake siku nyingi na kupeana kalenda tuu juu ya kulipana kila wakutanapo. Siku 1 wakati wapo bar...

Ghafla majambazi hao mara kusanyeni wallet, simu nk... Jamaa akatoa bahasha na kumpa rafiki yake.
Rafiki akauliza "hiki nini wanipatia?"
Akajibu "si ile pesa yakl unayonidai"

Ujumbe wa dokta

Jamaa aliamka asubuhi na kukuta ujumbe toka kwa dokta aliemfanyia upasuaji siku mbili zilizopita ukisema hivi:

"Tafadhali fika hospitalini mara moja, nimeshindwa nunua gazeti leo kuna sarafu yangu ya 100Tsh ilidondokea tumboni wakati nakufanyia upasuaji"

Mume wa 3

Mwanamke: Mungu wangu unaonekana kama mume wangu wa tatu.
Mwanaume: Kwani una wanaume wangapi waliokuoa?
Mwanamke: Wawili tu mpaka sasa.

Kuungama kanisani

Kijana alienda kuungama kwa paroko:
Kijana: Baba paroko nimekuja kuungama...
Paroko akajibu: Haina haja nimesoma blog yako yote.

Swali la leo

Tukikutana Bar twapeana ofa vinywaji... Petrol station mbona twachuniana? (naulisa)

Kikojozi

Mtoto akilalama kwa mama yake "mama unanionea tu, mbona baba usiku namsikia anakuuliza akojoe na unamruhusu?"

Kigugumizi

Mtoto mmoja alimuuliza mama yake swali "mama kwanini baba kila siku anapenda kulala juu yako?"
Mama alikwama kutoa jibu.

Mbele ya kioo Part ii

Katoto ka miaka minne kalifuatwa na kuulizwa "wewe kusinzia mbele ya kioo kulikoni na unachelewa mafundisho?"

Dogo akamjibu baba ake "baba mie melala hapa ili ukifika muda mwenzangu kwenye kioo aniamshe kumbe na yeye kalala pia."

Mbele ya kioo

Mama mmoja alimkuta mwanae amelala huku akiwa,mbele ya kioo cha kujitazama. Mama akamuuilza "we Esther mbona umelala mbele ya kioo vipi?"

Mtoto nae bila hiyana toka usingizini akajibu "si nimelala hapa ili nijione nkiwa nimelala"
Akasisitiza "yaani nijue kweli nimelala au nipo macho."

Tuesday, December 20, 2011

Maskini kipato

Mama: Mwanangu mbona upo na huzunika sana.
Mtoto: Majirani zetu inaonekana maskini sana, mtoto wao kameza 100Tsh tu wamechanganyikiwa je angemeza elfu 10?

Saturday, December 17, 2011

Kiingereza

Jamaa mmoja wakati anapita sehemu alisikia mtu akiongea lugha ya kigeni kiinglishi. Papo hapo akanena kimya kimya akanena (kwa vile kizungu akichoongea ilikua kimobomoka bomoka mno)

"mmh huyu jamaa anaongea lugha inayofanana na kiingereza"

Friday, December 16, 2011

Hii kali

Mwanamke katikati ya ndoto akiweweseka "ondoka fasta fasta mume wangu amerudi" jamaa alie pembeni yake akatoka nje na nguo zake kujificha. Alipofika nje akagundua kuwa aliekua anaota ni mkewe na yeye alilala nyumbani kwake pia.

Walevi wawili.

Mlevi: Jana mke wangu alikua kwenye Tv
Mlevi 2: Aliingiaje sasa?
Mlevi 1: Sijui alichukua stuli maana Tv ipo ukutani.

Kengele

Mwenye nyumba wakati anatoka akakutana na mtu "wewe ni nani?" Jamaa akajibu "fundi wa kengele,nimekuja rengeneza"

Mwenye nyumba "sasa si ungekuja tangu jana fundi?"
Fundi "nipo mlangoni tangu jana nabonyeza tu kengele hamna anaekuja kufungua mlango"

Kituo cha polisi

Kijana alipofika kituo cha polisi.
Kijana: Nimekuja uliza, hao kwenye picha ukutani ni akina nani?
Polisi: Hawa watuhumiwa sugu wanatafutwa na polisi.
Kijana: Khaa! Nyie wazembe sa si mngewakamata wakati mnawapiga izo picha!?

Fundi kitandani

Mwanamke akimuambia fundi "bora umekuja yaani treni ikipita tu nje nyumba inatetema nusula nidongoke toka kitandani" akamuambia fundi apande kitandani ashuhudie mwenyewe.

Wakati fundi yupo kitandani mume akaingia "haya nini maana ya hii hali fundi yupo na wewe chumbani?"
Mke akajibu "utaamini kuwa alikua anaisubiria treni?"

Kilo mbili

Jamaa alienda kujiunga jeshi la polisi, alizidi kilo mbili akakataliwa. Akaenda saluni kunyoavna aliporudi kupima mzani akakutwa bado kilo moja.

Dogo akamjibu afande "afande hii kilo moja iliyobaki kupungua itapungua nkioga na kukojoa tu"

Wednesday, December 14, 2011

Matokeo mtihani

Dogo alipata 90 kwenye pepa. Mshua alipoona akamuambia "mwanangu sa si ungepata 100 kabisa"
Dogo akajibu "tatizo Juma aliandika mwandiko mbaya jibu la mwisho sikuona vizuri"

Joto

Abiria: Konda ondoeni gari bwana joto humu...
Konda: Oya usituzengue, shuka kapande friji.

Tuesday, December 13, 2011

Siti zipo

Abiria: Siti zipo humo ndani au imejaa?
Konda: We chizi nini kwani umesikia wamekalia ndoo humu ndani?

Hamnazo

Baba baada ya kupekua daftari za mwanae "wewe mbona madaftari yapo matupu?"
Mtoto: Niliandika labda nlisahau kupiga mistari maandishi yatakua yamedondokea kwenye begi.

Vioja daladala

Konda: Oya kamatia gari inaondoka hii...
Abiria: Siti zote zimejaa ivo ntakaa wapi?
Konda: Usinizengue, km vipi ungekuja na siti yako.

Monday, December 12, 2011

Swali kwa padre

Kijana akimuuliza padre "fatha nauliza, hivi peponi kuna futball pia?"
Padre: Njoo kesho tafadhali ntakua nimepata jibu.
Siku ilofuata akaja.
Padre akajibu "...ndio kuna futball na una mechi ya kucheza alhamis hii"

Kwa wakili

Wakili: Inakuwaje unataka talaka kumpa mkeo mzuri kiasi hiki?
Mume: Ona kiatu changu kilivyo kizuri, lakini mvaaji pekee ndio anajua kiasi gani kinambana.

Nani kabla ya ndoa

Mwanaume: Nilikua Milionea kabla sijaoa.
Rafiki: Safi, sasa ivi si ndo mnahela zaidi?
Mwanaume: Hapana nilikua bilionea hapo awali.

Kwenye treni

Mkaguzi tiketi kwenye treni "vipi mzee mbona hofu? Usiogope mzee wangu hamna shida ya kukufanya uogope."
Mzee nae akajibu "ohh afadhali maana nimepanda na sijakata tiketi ya safari yangu."

Sunday, December 11, 2011

Kwenye daladala

Mlokole mmoja alipanda Daladala moja
ambayo ulikuwa inatwanga mziki Wa kidunia
kwa kwenda mbele,Mlokole: nyimbo gani mnapiga hizo, wekeni nyimbo
za Yesu"Kond a akamjibu... ..."Yesu bado
hajatoa albamu.... .."

Saturday, December 10, 2011

Dereva wa daladala

Dereva wa daladala alisimamisha basi akampisha bi.mkubwa mmoja kwenye kiti chake. Abiria wakauliza "dereva vipi nani ataendesha sasa?"
Dereva akajibu "mpaka mtu ajitolee mpisha bibi huyu ndio ntarudi kwenye kiti changu"

Kung'oa jino

Dokta meno: Ajabu kweli nimeng'oa meno matatu ya mbele hata damu haitoki!!
Mgonjwa: Aahh umeng'oa ya bandia sio yenyewe.

Kwa dokta

Dokta: Hizi dawa ili mumeo apate usingizi.
Mke: Ohh atakiwa ameze saa ngapi?
Dokta: Ni zako wewe ukameze sio yeye.

Wednesday, December 7, 2011

Kibweka kanisani

Jamaa mmoja alikua anampenda sana dada mmoja. Akamfuata mpaka kanisani, ilipofika wakati wa kutoa sadaka jamaa akamuwahi dada na kumuambia "ohh kuhusu sadaka acha tu ntakutolea"

Baada ya mtihani

Baada ya kutoka chumba cha mtihani, wanafunzi walikamatana na kudundana mingumi ya kutosha. Mwalimu alipowakuta na kuwauliza kwanini wanapigana, mmoja wao akajibu; 
"mwalimu mimi mtihani wa hesabu sijajibu kitu, nimeandika jina tu, sasa huyu b.w.e. g.e nazi naye kaniiga, hajajaza kitu, ameandika jina tu sasa si itaonekana mmoja wetu amekopi kwa mwenzie halafu tutafutiwa matokeo wote!"

Sunday, December 4, 2011

Kichaa kapewa rungu

Kijana alikua anafukuzwa na kichaa aliekua na rungu mkononi kwa umbali wa kilomita 1. Alipochoka akaamua kusimama. Kichaa alipomfikia akam-dalika kidali poo kisha akamuambia "kalale nacho"

Kibweka kitandani

mzee mmoja alikuwa amelala na mkewe,akawa
anajamba kwa sauti mbali mbali,mkewe ikabidi
amuulize kulikoni mume wangu? mzee
akajibu"Potezea bna,Natafuta ringtone ya
matako yangu!"

Friday, December 2, 2011

Somea mtihani

Madogo wawili wa shule ya msingi:
Dogo A: Mtihani keshokutwa sa tunafanyaje?
Dogo B: Kuchemsha daftari tu na kunywa maji.
Dogo A: Tatizo notice zangu nyingi tashindwa maliza hayo maji.

Msiba wa kipenzi

Mwanamke mmoja alifiwa na mumewe kipenzi, siku ya mazishi akaomba msaada mmoja akisema "naombeni mumzike na hii simu yake na chaja niwe nawasiliana nae." Kisha akakumbuka jambo "aahh umeme wa kuchajia hata kuwa nao."

Thursday, December 1, 2011

Mtoto wa nani?

Mtoto alizaliwa na tangu azaliwe hakuwahi ongea. Kwa mara ya kwanza siku akataja "bibi" siku moja mbele bibi ake akafa.

Akataja tena baada ya miezi "babu" ikawa vilevile. Miezi tena akataja "baba" ndipo baba alipoanza andika urithi nk. Kilichofuata akafariki dereva wao.

Tuesday, November 29, 2011

"siku zote napenda kutembea kwenye mvua kwa sababu hamna atakaeniina nikilia" nukuu toka kwa Charlie Champlin.

Sunday, November 27, 2011

Ndoa

Mtoto: Baba nikimaliza shule tu ya msingi namuoa bibi.
Baba: Utamuoaje mama yangu ambae ni bibi yako.
Mtoto: We mbona umemuoa mama angu nkakaushia tu?

Moto na maji

Mama: Mwanangu hebu turudi mara moja nyumbani sijazima jiko la gesi itaungua nyumba.
Mtoto: Mama hata mimi nimesahau kufunga bomba usijali maji yatazima moto ukiwaka.

Friday, November 25, 2011

Zumbukuku

Jamaa akimsimulia mwenzake "yaani nimezunguuka library leo sina hamu"
Rafiki akauliza "ukitafuta kitabu au kiti gani?"
Jamaa akampa jibu "si nikitafuta cheque-book maktaba nzima hamna"

Mchezo wa box

Kijana: Ume-enjoy kuangalia mchezo wa boxing?
Mtoto: Ndio, ila kulikua na baridi hadi mabondia walivaa gloves.

Buchani

Dada alienda buchani
Dada: Huyo kuku mkubwa ameshanunuliwa?
Buchani: Bado ila yupo mkubwa zaidi.

Jamaa ili amvutie zaidi akaenda nje na kumjazia jazia kuku mwingine aonekane mkubwa zaidi aliporudi ikawa hivi:

Buchani: Kuku mkubwa zaidi huyu hapa.
Dada: Sawa ntawanunua wote wawili.

Thursday, November 24, 2011

Mshamba wa ng'ombe

Jamaa alitoka nunua ng'ombe, njiani yule ng'ombe akaanza kukojoa. Jamaa baada ya hapo akageuza kurudi alipomnunua na kuwaambia "nibadilishieni huyu ng'ombe mlieniuzia ametoboka"

Mwanasheria

Mwanasheria alifanya mapenzi na mwanamke,kwenye gari, yule mwanamke akaisahau chupi. Mbele akamkuta mkewe na kumpakia.

Mke: Hee! Mume wangu umeanza tabia ya kutembea na chupi za watu kwenye gari. Akaitupa nje.
Mume (Mwanasheria): aah! Mke wangu ule ni ushahidi wa ile kesi ambayo ingetupatia milioni 30...

Wednesday, November 23, 2011

Nani ana akili

Vijana wawili walienda kuvua samaki wakapata wengi tu. Siku ya pili wakati wanaenda tena:
Kijana 1: Ulikumbuka kuweka alama pale tulipopata samaki wengi?
Kijana 2: Niliweka alama ya x chini ya ile boti tuliyokodi jana.
Kijana 1: We chizi kweli je wakitupatia boti tofauti na jana.

Gereji

Jamaa alipeleka gari yake kwa fundi:
Jamaa: Fundi gari yangu nkikata kushoto wakati inatembea inapiga kelele na kulia ivo ivo.
Fundi akaicheki huku na kule na baadae kudai chake.

Fundi: Gharama yake itakuwa elfu 20.
Jamaa: Tatizo lilikua nini?
Fundi: Tatizo bado lipo, ukifika kalishushe bakuli lipo kwenye buti ya gari yako.

Nikune

Mke alimuomba mumewe "mume wangu naomba nikune mgongoni sijifikii" mume akaanza kumkuna, punde mke akajibu "tayari mume wangu" mume nae akajibu "ngoja kwanza sijamaliza"
Mke: Khaa mgongo si wangu mie...

Tuesday, November 22, 2011

Kifo

"Ingekua kufa unakufa leo siku ya tatu unafufuka mtu akiniua tu nkifufuka siku ya tatu na mimi namuua" alisikika kijana akinena.

Monday, November 21, 2011

Kahawa

Mteja: Naomba nipatie kahawa bila maziwa tafadhali.
Mhudumu: Maziwa tumeishiwa labda nikupe kahawa bila sukari.

Hotelini na glass

Mteja: Naomba nletee glass safi, maana jana ulinipatia chafu.
Aliporudi mhudumu akaenda pale walipo wale wateja wawili na kunena.
Mhudumu: Nani kati yenu ameagiza glass safi?

Panya

Mteja: Hotelini kwenu mnajitahidi sijaona panya kabisa.
Mhudumu: Watatokea wapi na chakula chapikwa kibaya.

Sunday, November 20, 2011

Swali darasani

Mwalimu: Kuku ni jamii ya ndege je nyoka na samaki.
Mwanafunzi: Nyoka ni jamii ya treni na samaki jamii ya meli.

Saturday, November 19, 2011

Msiba wapi

Bibi alipotea asijue msiba wapi akauliza vijana pale kijiweni. Wakamteka na kwenda kumla uroda. Walipomaliza bibi akawauliza wale vijana "haya na arobaini lini nije tena?"

Wednesday, November 16, 2011

Tv na kochi

Jamaa: ...wameniibia kila kitu kasoro Tv na kochi.
Polisi: Imekuwaje waibe vyote waacha ivo tu?
Jamaa: Wakati wanaiba nlikua naangalia Tv kwenye kochi.

Monday, November 14, 2011

Yuupi?

Jamaa akimsimulia jambo mwenzake "nataka kuoa mwanamke anaejua kupika, anaejiheshimu na alie na mvuto pia."

Rafiki akajibu "enhe! Sasa utamuoa yupi kati ya hao watatu?"

Vioja msibani

Mh. Mmoja alipopewa nafasi ya kuongea neno,alipokuwa msibani ambae ni mwana siasa wa siku nyingi alianza kwa kusema "msiba oyee"

Ugomvi mke na mume

Mke akifoka kwa sauti "ushukuru baba yangu ndio katoa pesa ukanunua flat screen, gari na furniture vinginevyo usingekuwa na jeuri #$€$$%*+=."

Mume nae akajibu "ushukuru baba ako katoa hizo pesa vinginevyo nsingekuwa hapa... #€*+"

Kero za mke

Mwanamke: Kama mumeo anakukera kila siku si uachane nae unde zako tu.
Mke: Sitaki kufanya kitu chochote kitachompa furaha kikiwemo icho.

Machinga complex

G: Hiivi kwa nini Mbeya na Tabora wasiwajengee machinga complex yao?
P: Aah wale wawatolee fotokopi halafu wawapelekee tu.

Sunday, November 13, 2011

Video library

Mteja alienda video library kuazima sinema ya kuangalia ikawa hivi:
Mteja: Nimekuja kuchukua Batman forever si ipo?
Mhudumu: Ipo ndio ila yapaswa kurudishwa sio kuichukua forever.

Kwa dentist

Dokta: Embu acha hizo kelele sijaanza hata kung'oa jino lenyewe.
Mgonjwa: Ndio najua, toa mguu wako umenikanyaga vidole vyangu vyote.

Urithi saluni

Mzee mmoja kutokana na umri aliamua kumpa mwanae saluni yake aiendeshe. Akampa maneno yafuatayo "mwanangu hii kazi inabidi uwe makini sana, wateja wengine wakali na wanatabia ya kugeuka ghafla hivyo angalia usijikate na wembe"

Saturday, November 12, 2011

Kesi ya mke na mume

Mwanamke aliulizwa "nini alisema kwako mumeo mpaka yakawa haya ya kumtwanga na kiti?" Mwanamke akajibu "jina langu naitwa Irene sio Judith, sa muulizeni Judith ni nani?"

Mifupa ya binadamu

Jamaa akipewa majibu na daktari wake baada ya uchunguzi "inaonekana mifupa ya miguuni mwako imekua laini sana saasa..." Akamkatisha na kumuambia "shhh taratibu dokta hapo nje kuna mbwa wanne watasikia"

Kitu cha heshma

Mtoto aliona nyeti za baba ake kuuliza akajibiwa "hii ni heshima mwanangu." Siku ya pilivwakaja wageni mtoto akaambiwa awape heshima si akafungua na kutoa nyeti kisha akanena "mnashangaa hizi baba, ana heshima kubwa zaidi"

Friday, November 11, 2011

Swali la mtego

Mwalimu: Uliona wapi bahari isiyokua na maji au dunia isiyo na watu?
Mwanafunzi: Si kwenye ramani au atlas.

Uzurulaji

Askari wa doria: Wewe kijana unafanya shughuli gani hapa mjini?
Kijana 1: Sina nnachofanya sina ajira kabisa.
Polisi: Na wewe mwingine unafanya shughuli gani?
Kijana 2: Mie ni boss wake.

Jumba la makumbusho

Jamaa bahati mbaya aliangusha bakuli la kuvunjika likavunjika ndani ya jumba la makumbusho. Askari akaja na kusema "mungu wangu hicho ulichovunja ni cha miaka 2000 iliyopita"

Aliyeangusha akajibu "ohh afadhali mi nilidhani kipya"

Baridi kali

Juma: We vipi mbona unatetemeka mikono.
China: We huhisi baridi kama mimi?
Juma: Sa si ingiza mikono mfukoni mwa suruali.
China: Mifuko imejaa nimeweka gloves.

Swali na jibu

Kijana alimuuliza maswali ya chemsha bongo mtoto:
Kijana: Kwa mfano baba kakupa shilingi 500 na mama kakupa shilingi mia 500 utakua na shilingi ngapi?

Mtoto akajibu: Ntakua na shilingi 500.
Kijana: Kw nini unasema hivyo?
Mtoto: Kw sababu mama hawezi kuipata hiyo 500.

Swali la mwalimu

Mwalimu aliuliza swali "enhe Juma, baba yako akikupa shilingi 150 na mama yako akikupa shilingi 150 utakua na shilingi ngapi?"

Mwanafunzi akajibu "ntapata kijoti"

Mabusu motomoto

Sam: Huwa nini m-kiss mke wangu kila siku kabla sijaenda kazini.
Ibra: Hata mimi namfanyia hivyo ukisha ondoka tu.

Macho mabovu

Mgonjwa: Dokta nasumbuliwa na macho sana siku hizi.
Mtu: Ni kweli unahitaji hapa ni mgahawani nenda,hospitali.

Wednesday, November 9, 2011

Ya usiku

Ilikuwa hivii:-
MTOTO: Eti baba unataka kuanza tena shule?
BABA: Kwa nini unauliza ivyo?
MTOTO: Jana ucku nlisikia mama anakwambia anataka muende la pili! Uthikubali baba utachekwa!

Chizi ajibu swali

Kijana: Nasikia mkeo anaongeaga mwenyewe akiwa peke yake.
Mtu mzima: Kwa kweli sijui, siwagi nae akiwa peke yake.

Mgonjwa huyu...

Mume: Daktari amekuja anataka kukuona.
Mke: Najisikia vibaya sitaki onana na mtu yeyote.

Gharama...

Mlala hoi alipoenda kwa daktari kupata huduma ya kiafya:
Dokta: Umeshawahi kuzimia?
Mgonjwa: Ndio, mara ya mwisho ulivyonitajia gharama zako.

Betri ya saa

Kimi: Kwa nini unatoa betri kwanye saa na kuzianika juani?"
Luko: Ili zipate kuwa na nguvu zaidi, nazirudishaga nkitaka angalia muda tu.

Tekinolojia

Dogo aliulizwa "wewe sasa mbona umebeba dvd juu chini na chini juu ndio nini?"
Dogo na akajibu "naogopa data zanaweza anguka njiani nlizozikopi humu."

Bar na maongezi

Jamaa 1: Mtoto wangu hasikii kitu nikimuambia jambo.
Jamaa 2: Anakukosea sana adabu.
Jamaa 1: Hapana ni kiziwi.

Mambo ya facebook

Baba aliingia facebook na kumuandikia mwanae wa kiume kwenye wall yake "Hi Son sio sote wazima, tumekumiss sana.HEBU SHUKA CHINI HARAKA CHAKULA KIPO TAYARI TUNAKUSUBIRI WEWE PUMBAFU.

Ugomvi baba na mama

Mtoto alikua analia nje jamaa mmoja akamkuta na kumuuliza "unalia nini mtoto?"
Katoto kakajibu "wazazi wangu wanapigana ndani?"
Jamaa: Baba yako ni nani?
Mtoto: Ndio icho wanachogombana ndani.

Hotelini india

Mtanzania alienda india, mgahawani:
M-tz: Nipatie Arul Jodi tafadhali?
Mhudumu: Umeona wapi iyo kitu mzee?
M-tz: Kwenye Menu.
Mhudumu: Hilo ni jina la mwenye hotel mzee.

Mke mgahawani

Mume akimuuliza mkewe: Siamini, yaani unakula mguu wa mbuzi wote wewe?
Mke akajibu: Hapana nimeagizia na juice.

Kitu hotelini

Wapendanao walifika mapokezi;
Mwanamke: Tafadhali tupe kitanda kimoja.
Mapokezi: Oh! Vimejaa kipo cha double.
Mwanamke: Nipe icho icho ntavisogeza karibu akikoroma tu nimtwange ngumi ya uso.

Kipofu barabarani

Ombaomba: Anti unaonekana kama malaika, niguse mkono wangu mie kipofu.
Mwanamke: Huyu atakua si kipofu.
Mume: Ni kipofu wala hadanganyi.
Mwanamke: We umejuaje?
Mume: Si amekuona upo kama malaika leo.

Tuesday, November 8, 2011

Kwa jirani...

Mwanamke: Mume wa huyo jirani yetu anambusu mkewe mara 3 kwa siku wewe kwa nini usifanye hivyo pia?
Mume akajibu: Ntafanya kama akiniruhusu kumbusu huyo mkewe.

Swali harusini

Mtoto: Mama kwa nini bibi harusi anavaa nyeupe?
Mama: Kwasababu ni siku yao ya furaha sana.
Mtoto: Mbona bwana harusi anavaa nyeusi?
Hakimu: Kwa nini umempiga mumeo na kiti?
Mshtakiwa: Mh. Hakimu meza ilikua nzito sana ndio nkachukua kiti.

Kutega shule

Simu ilipigwa:
Simu: Haloo naongea na mkuu wa shule?
Mkuu: Ndio, una shida gani?
Simu: Napenda kukutaharifu kuwa mwanangu leo hatoweza kuja shuleni.
Mkuu: Wewe una mahusiano gani huyo mtoto?
Simu: Hiyo ni sauti ya mama yangu inaongea.

Katoto shuleni

Mwalimu: Fredy jana ulitega darasani enhe?
Fredy: Sio sana mwalimu nlikua kantini tu.
Mwalimu: Kantini ukifanya nini?
Fredy: Nkitega kipindi chako.

Babu kwa dokta

Baba alipokua kwa dokta:
Dokta: Babu kwa afya yako utafikisha miaka 90.
Babu: Dokta mbona tayari nna miaka 90.
Dokta: Si unaona nlikuambia utafika 90.

Katika chumba cha upasuaji

Upo katika chumba cha upasuaji halafu kwa mbaali ganzi imepungua unasikia maneno ayaongeayo dokta:
I. Hili ni ini, na hii ni figo hiki kingine ni nini tena?
II. Hebu leta icho kitabu fungua ukurasa wa 4.
III. Hapana uko umepachana sipo rudi huku juu...

Uelewa muhimu

Mama mwenye nyumba alimpeleka mkwewe hospitali. Baada ya shughuli za hospitali alimuuliza mkwewe "mama ivi daktari alichukua na temperature?" Mkwe akajibu "kwa kweli sijui nilipaswa kuja nayo?"

Beki 3 na bosi wake

Beki tatu akimuambia bosi wake "mama mtoto ametumbukia kwenye kisima"
Mama mtoto: Enh! Ulimvisha pampers?
Dada: Ndio mama.
Mama mtoto: Bora maana angechafua maji.

Monday, November 7, 2011

Matamanio

Jamaa alienda saluni kunyoa, wakati ananyoa alomuona mwanamke pembeni akimuosha mteja akamuambia "dada leo unaonaje tukalale hotel?"
Dada akajibu "nimeolewa" jamaa akasisitiza "si unamuambia leo una over time, ntakulipa vizuri"
Mwanamke akamjibu "mwambie mwenyewe huyo hapo anaekunyoa nywele"

Mtoto na baba ake

Mtoto aliona korodani za baba ake akauliza "baba hizo nini?" Baba akajibu "mwanangu haya ni ma-apple" yakaishia hapo. Baada ya wiki akamuuliza mama ake "mama yale ma-apple mawili ndani ya suruali ya baba ni ya kienyeji au kizungu, maana ya mlinzi wetu ya kizungu.”

Taa ya gari

Dereva mmoja wa basi alimuambia kondakta "hebu toa kichwa nje uone indicator kama inawaka?" Konda alifanya hivyo na kumjibu "ndio, hapana, ndio, hapana..."

Swali la msingi

Kama kobe hana lile limfunikalo pale ni yupo uchi au hana nyumba?

Maongezi yao...

Vijana walikua wakiongea kama ifuatavyo:
Kijana 1: Tatizo lako we mbishi sana.
Kijana 2: Sio kubisha tu.
Kijana 1: Sa uliona wapi mbwa hana mguu mmoja.
Kinaja 2: Mie nimeona pahali alipouacha sasa.

Kunywa

Police wa barabarani alimsimamisha dereva mmoja na kumuhoji "mzee vipi umekunywa?"
Mzee akajibu "hapana" papo hapo mwanae akadakia "baba sema ukweli si ulikua unakunywa maji punde tu?"

Saturday, November 5, 2011

Ugenini

Jamaa ugenini alibanwa na haja kubwa. Alienda msalani aliporudi akamuuliza kwa kunong'ona mwenzake "msalani nimekuta toilet paper tatu, ya pinki, blue na nyeupe nkashindwa fahamu ipi nitumie na maji hamna."

Mwenzake akamuuliza "sasa umetumia ipi?"
Akajibu "sijatumia bado mekuja uliza kwanza kwako"

Cha pombe

Cha pombe mmoja alienda kwa daktari akipoulizwa akajibu shida yake "dokta nafikiri nna tatizo moja tu, mfumo wangu wa kilevi umejaa damu ndio sababu nashundwa pata bia nyingi. Nisaidie kupunguza..."

Wednesday, November 2, 2011

Babu kapata ajali

Babu aligongwa na baiskeli akaanguka chini jamaa mmoja akanena "mpeni maziwa fresh huyo atazinduka"

Babu nae akaibuka na kunena "na chapati tatu usisahau"

Saturday, October 29, 2011

Mnyalukolo

Jamaa kwenye daladala pembeni kuma dada alianza kwa kumsalimia halafu akamuuliza "Samahani dada unaitwa google?" Dada akamjibu "hapana, n kwanini umedhani naitwa
hivyo?" Jamaa akamjibu "maana una kila kitu nnachokitafuta"

Toto hili nalo...

Mtoto aligoma kutumwa na beki tatu, Mgeni
aliyekuwepo sebuleni ikabidi aonyeshe
busara zake akamuuliza mtoto "humu ndani
mdogo nani? Mtoto akajibu "mama" Mgeni
akamuuliza "kwanini?" Mtoto akajibu "mama
kila siku anavuliwa chupi na dadii wakati mi yangu kila siku
navua mwenyewe"

Tv kubwa

Babu alienda mjini kwa mwanae. Sebuleni akakuta Tv ya inch 53 na kuishangaa ilivyo kubwa. Siku moja kabla hajaridi kijijini mwanae alikuta Tv imevunjwa kuuliza akajibiwa "ni mimi mwanangu nimejimegea nusu nkaangalie kijijini, rimoti ntatumia yangu"

Babu huyoo

Babu alifanyiwa opereshen ya kusafishwa
korodani na kuanikwa bahati mbaya yaliliwa
na paka dokta akaamua kumbandika viazi ili
asifukuzwe kazi baada ya mwezi dokta
alimuuliza mgonjwa wake vp mzee khali
yako? BABU."ah sijambo najiskia vizuri ila
kuna tatizo jengine" DOKTA" tatizo gani?"
BABU naona badala ya kuota nywele za huku naota
matembele."

Vipofu wawili

Vipofu wawili kwenye basi
wakisafiri ghafla
gari likapata ajali kipofu
mmoja wakati anamtafuta mwenzake katika
kupapasa akashika punje ya mahindi
akashtuka "hee haya meno nini?" katika
kuendelea bahati mbaya akaingiza mkono
kwenye bususu ya mwanamke akalia kwa
uchungu "maskini John meno yote
yameng'oka"

Kuku na sikukuu

Kuku wangejua kusoma na kuielewa kalenda
yaani kipindi cha sikukuu tusingewakuta
kwenye mabanda!

Friday, October 28, 2011

Simama ukaguliwe

jamaa alikuwa kwa mguu alipofika getini
kwenye kampaundi ya mshikaji wake akakuta
kibao "SIMAMA UKAGULIWE" kwakuwa
mlinzi hakuwepo jamaa akajisachi
mwenyewe then akaingia ndani, kabla
hajafika mlangoni mlinzi akamfuata na
kumuuliza kwanini umepita mlangoni bila
ukaguzi? Akajibu "nimefanya auto search"

Redio msalani

Mke mmoja alimpa mme wake radio aende
nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa
anakaa muda mrefu.
Basi alivyotoka akamuuliza: "enhe, mume
wangu, vipi ulienjoy?"
mume: "ah, wajinga hawa! Wameniwekea
wimbo wa taifa nimekunya huku
nimesimama!"

Mume anapobanwa

Mwanamke mmoja alimuona mumewe amevaa nguo ya ndani imevaliwa nje ndani. Kamuuliza "mume wangu mbona pichu umeivaa nje ndani kulikoni?" Mume nae akajibu "ooh nilipitia site nkaamua kuoga huko huko."

Tuesday, October 25, 2011

Mkulima mmoja alifungua akaunti sasa alipopata kadi akaenda ATM alipocheki balance akazimia. Siku ya pili tena akazimia, ya tatu akapata wa kumsomea salio kumbe mkulima akiona namba ya akaunti ndio akidhani fedha.

News

Jamaa walipokuwa bar akimsimulia jambo mwenzake:
Joseph: Umezisikia news mpya?
Ibrah: News gani tena?
Joseph: Fredy kaachwa na mkewe...
Ibrah: Ohh! Mhudumu niongeze konyagi.

Monday, October 24, 2011

Choo cha mbwa

Mtoto mmoja alimuuliza baba ake "baba yule jirani yetu kwa nini anatumia choo kimoja na mbwa wake?" Baba ake akamuuliza "kivipi mwanangu sijakuelewa?" Mtoto akaiju "namuonaga akienda kukojoa pale kwenye ule mti kila siku na mbwa pia hapo hapo."

Simu hospitalini

Ilipigwa simu hospitalini ilipopokelewa "halo hapo ni kk hospitali?" Akajibiwa ndio. Kisha yakaendelea "ooh sasa nilitaka kujua hali ya mgonjwa chumba namba 80."

Nesi akijibu "oh yule mgonjwa yupo anaendelea vizuri, bp imeshuka na sukari pia unatengemaa vyema mpaka sasa. Kwani wewe ni nani mwwnzangu?"

Toka kwenye simu ikajibiwa "mimi mgonjwa chumba namba 80 nikiuliza maana hamna alieniambia hivyo."

Misemo ya mitaani

Niliidaka sehemu msemo huu "mwanaume u-handsome mwisho form six baada ya hapo inaangaliwa pesa tu."

Mume na mke wakigombana

Mke: Pumbafu... X%;?0++$.. Na ndiio maana si mzuri kitandani.
Mume akakaa kimya tu. Mke akauliza, "si naongea na wewe mbona kimya?"
Mume akajibu: Nipo kitandani namaliza usingizi ili niwe mzuri kitandani.

Saturday, October 22, 2011

Kisanga mahakamani

Jamaa alipopewa nafasi kujitetea kwa kosa la kubaka mbwa alinena ivi "mheshimiwa hakimu mbwa mwenyewe ndio alitaka akawa anajipitisha pitisha kila mara..."

Mayai kwa mtoto

Katoto kamoja kaliulizwa na baba ake,"mwanangu sasa mbona hujala mkate na mayai?" Kale katoto kakajibu "sa takulaje mayai wakati hayajachinjwa kuku walio ndani yake?"

Thursday, October 20, 2011

Mtoto kwenda shule

Mtoto mmoja akimuambia mama yake kabla ya kwenda kulala, "mama mi kesho ntakua naumwa mkono sitaenda shule" asubuhi alipoamshwa akakumbushia "mama si nlikuambia ntakua naumwa mkono jamani?"

Monday, October 17, 2011

Aliuliza jamaa

Jamaa mmoja alitoa ya moyoni kama ifuatavyo:
"nimepanda ndege, basi, pikipiki, helikopta, treni na boti. Bado kitu kimoja tu "ungo" je mnapaki wapi nijue naanzia wapi?"

Hesabu

Mwanafunzi aliandikiwa hesabu ubaoni atafute jawabu tokanalo na herufi x. Mwanafunzi akamjibu "sa mwalimu ntatafutaje x wakati hiyo hapo naiona?"

Kamchezo

Jamaa alipaka gundi kwenye benchi akimvizia dada,mmoja akae ili atapoinuka akiinuka nguo ichanike mtegaji aone makalio ya dada. Bahati nzuri dada mmoja alikaa punde akahisi tofauti alipoinuka akainuka na benchi zima na si nguo kuchanika.

Kuibiwa baiskeli

Jamaa alienda Tanga akaibiwa baiskeli, kuulizia hakuipata. Basi akanena "inshallah ntafanya kama alivyofanys babu"

Vijana waliposikia wakamrudishia na kumuuliza "babu yako alifanya nini?" Jamaa akajibu "alishukuru Mungu akanunua ingine"

Saturday, October 15, 2011

Hii ya kitambo kilee

Mttoto alitumwa akanunue gazeti la tarehe 10.
Akalikosa, aliporudi kwa baba yake akamjibu
"baba nimekosa la terehe 10, ila menunua ya tarehe 5 mawili"

Friday, October 14, 2011

Vijana na mabishano

Kulikua na vijana watatu, wa kwanz akaangusha saa yake toka ghorofa moja hadi chini ikabomoka, wa pili na e ivo ivo. Aliporusha wa tatu haikubomoka wakamuuliza "imekuwaje?" Jamaa akawajibu "saa yangu iko nyuma dakika 5"

Wednesday, October 12, 2011

Simu ilipopigwa

Mwanaume alipiga simu nyumbani akapokea mwanamke si sauti anayoifahamu. Ikawa hivi:
Mwanaume: We ni nani?
Mwanamke: Mimi ni house girl.
Mwanaume: Mbona sijaajiri house girl kwangu.
Mwanamke: Nimeajiliwa asubuhi hii...

Mwanaume: Huyo mwanamke alekuajiri yu wapi?
Mwanamke: Yupo chumbani na mume wake.
Mwanaume: Enhe? Nani? Mi ndio mumewe. Sasa sikiliza unataka kupata milioni 4?
Mwanamke: Ndio baba.

Mwanaume: Nenda kachukue pisto ipo... Kisha uwatungue wote pumbavu zao.
Mwanamke alipofanya akarudi kwenye simu "enhe sasa mzee miili yao naiweka wapi?
Mwanaume akajibu "itupe kwenye swimming pool.
Mwanamke akajibu "lakini hamna swimming hapa nyumbani"
Mwanaume akanena "ngoja kwanza hapo ni nyumba plot. No. 811?"

Monday, October 10, 2011

Hii mimba...

Mtoto akimjibu mama ake "mama kamimba kenyewe kadoogo tu nlikokapata, shule ntaendelea"

Sunday, October 9, 2011

Mchungaji atoa neno

Mchungaji kwenye msiba alinena "ndugu zangu acheni sigara, acheni pombe, starehe na ugolo tupeni kule."
Bibi mmoja akajibu "wee mchungaji nani atupe ugolo?"

Saturday, October 8, 2011

Toto hili?

Mama unajua housgel wetu ni malaika? Mama: Kwanini wasema hivyo?
Mtoto: Jana nilimuona ameshikilia ukuta akiwa uchi na mikono ameinua juu anaongea na Yesu akisema ooh! Yesu wangu nakuja... oooh! Yesu wangu nakuja jaman! yaan isingekuwa baba kumshikilia kwa nyuma naye akiwa uchi, saa hizi dada angekuwa mbinguni!

Mahakamani

Mtuhumiwa: Mheshimiwa hakimu, ilibidi nikagonge ukuta kuliko kumgonga ng'ombe.
Hakimu: Ng'ombe alikua jike au dume?
Mshtakiwa akajibu "sikumuangalia plate namba"

Mgao umeme

Mtoto aliulizwa "mbwa wako alikua wapi wakati umeme unakatika?"
Mtoto akajibu "alikua kwenye giza"

Kasuku anauzwa

Jamaa: Nauza huyu kasuku na anaongea.
Mteja: Sidhani kama anaongea mhh!
Punde kasuku akaanza kuongea kwa masikitiko "tafadhali ninunue, huyu hanipagi chakula, hanitoi nje kwenye hewa, hanipi nachohitaji"

Mteja: Sa why unamuuza wakati na kuongea anajua?
Muuzaji: Nimemchoka na tabia yake ya uongo.

Dunia ya kisasa

Maongezi ya vijana wawili yalikua hivi...
Msela: Dah leo nataka kupika ugali kwa sukumawiki ila sijui...
Mwenzake akamjibu.
Msela wa pili: Ingia google tu andika ugali...

Tuesday, October 4, 2011

Bahiri

BAHILI: Ndizi moja sh.ngapi ?
MUUZAJI: Ndizi moja sh. 100.
BAHILI: Nipe kwa sh. 60.
MUUZAJI: Kwa sh.60 utapata maganda tu.
BAHILI: Shika hii sh.40 nipe ndizi hayo maganda ya sh.60 yatoe siyataki!

Monday, October 3, 2011

Mke kabla...

Mke kabla hajafa alimtuma mumewe chumbani chini ya uvungu. Akakuta mayai3 na milioni 6. Kuuliza akajibiwa "yale mayai nimekua niyaweka kila tukifanya mapenzi sivyo" Mume akafikiria na kusema "sio mbaya matatu tu kwa miaka 26 ya ndoa." Kisha akauliza "na zile milioni 6?" Mke akajibu "nimekua nikiyauza mayai kila yalipokua yanajaa"

Mkubwa

Jamaa alichora mstari akamwambia mke wa mpangaji mwenzie "ukivuka tu nakubaka"" Kumbe mama yule alikua na nyege akavuka makusudi jamaa akamvutia geto kumpa tamu. Kumbe mtoto wake alikua akishuhudia yote hayo. Mume karudi tu, mtoto akamwambia "usivuke huo mstari utabakwa kama mama"

Sunday, October 2, 2011

Maasai

Mmasai aliingia mjini na PUNDA wake, kufika town akashangaa magari yanavyo toka kasi, akaamua kumuuliza jamaa mmoja... Mmasai: "Aisee rafiki, kwanini hisi gari nakwenda mbio sana?!" Jamaai: "Gari zinatumia Petrol/Diesel ndio maana zinakwenda sana..." Kesho yake jamaa akaenda SHELI na punda wake, kufika akamnyanyua PUNDA mkia. Akaomba Punda wake atiwe lita 5 za Petrol.... Baada ya dakika chache petrol si ikaanza kumuwasha yule Punda, akatoka mbio akaingia mitini.... Mmmasai akamfukuza, wapi hakumpata... Daaah, yero akaamua karudi Sheli, akafungua mkanda, akavua shuka lake, akainama. Akamwambia muuza mafuta, "Weka lita 10, 5 diseli, 5 petroli.... si nataka masindano na mimi, lazima onesa yeye nani saidi leo...."

Ualimu kazi

Kwel ualimu kazi Mwalimu kajamba darasan kwa aibu ikabidi achukue likizo ya mwezi 1. Baada ya kurudi kawauliza wanafunzi tumeishia wapi? wakamwambia pale ulipojamba...

Friday, September 30, 2011

Kwa kinyozi

Njemba ilienda kwa kinyozi na kuuliza "kinyozi ndevu shilingi ngapi?" Kinyozi akamjibu "400Tsh tu"
Njemba ikajibu "ok nifungie za 800Tsh"

Thursday, September 29, 2011

Kipofu kanusa

Kipofu aliingia mgahawa mmoja na kumuambia mwenye mgahawa, "nipe uma iliyotumika ntainusa na kutoa oda kilicholiwa kwa uma hiyo"

Akaletewa na kuinusa kisha akasema "niletee viazi mviringo vya nyama ya kuku" mwenye mgahawa alichoka kwa uwezo ule.

Wiki mbili mbele akarudi, mwenye mgahawa akachukua una na kumuambia mkewe ajifutie ukeni, kisha akampa jamaa aliponusa akajibu "kumbe Nancy nae yupo hapa?"
Mwenye mke alichanganyikiwa mpk jina analijua...nye mgahawa, "nipe uma iliyotumika ntainusa na kutoa oda kilicholiwa kwa uma hiyo"

Akaletewa na kuinusa kisha akasema "niletee viazi mviringo vya nyama ya kuku" mwenye mgahawa alichoka kwa uwezo ule.

Wiki mbili mbele akarudi, mwenye mgahawa akachukua una na kumuambia mkewe ajifutie ukeni, kisha akampa jamaa aliponusa akajibu "kumbe Nancy nae yupo hapa?"
Mwenye mke alichanganyikiwa mpk jina analijua...

Ufafanuziiii

Nini tofauti kati ya Stress, Tension na Panic?
Stress: Mkeo akiwa na mimba.
Tension: Msichana wako akiwa na mimba.
Panic: Both wakiwa na mimba.

Wednesday, September 28, 2011

Wachina Part II

Wachina wawili Dar es Salaam walipata mtoto mweusi!
Mume wa kichina akauliza "mbona mtoto mweusi?"
Mke wa kichina akajibu tunaishi Tanzania, hamna umeme, mimi wa moto, wewe wa moto, mapenzi moto moto... Mtoto kaungua joto...

Wachina

Familia ya Kichina iliamua kwenda marekani majina yao ni Chu, Bu, Hu, Su and Fu. Sasa ilibidi wafanane fanane kidogo majina na ua-merika... Ikawa hivi

Chu akaitwa Chuck.
Bu akaitwa Buck.
Hu akaitwa Huck.
Su and Fu wakaamua kubaki China

Madenge

Madenge alimwambia babake kuwa haendi shule tena Baba akamulizaa "kwanini?"
Madenge: Inaelekea walimu hawana uhakika na majibu yao, juzi wamesema 5+2=7, jana 4+3=7, leo 6+1=7, na kesho huenda watesema 7+0=7, sasa huo siubabaishaji?wamesema 5+2=7, jana 4+3=7, leo 6+1=7, na kesho huenda watesema 7+0=7, sasa huo siubabaishaji?

Saturday, September 24, 2011

Mume wa mtu

Mwanamume alimuangalia msichana aliepita, mkewe akamuambia "acha kuwakodolea wasichana umeshaoa wewe" Mume nae akamjibu "hata kama nipo kwenye diet ndio nsiangalie menu?"

Wednesday, September 21, 2011

Ujinga ni...?

Ujinga ni kutongoza demu kanisani alafu ukamwambie "leo its on me;wacha nikulipie sadaka"

Tuesday, September 20, 2011

Ushindani

Wikipedia: Najua kila kitu!
Google: Nina kila kitu!
Facebook: Najua kila mtu.
Internet: Bila mimi hamna kitu.
Umeme: Endeleeni kuongea....

Kwenye simu

Msichana alipokea simu akaongea nusu saa nzima, alipokata mama akamuuliza "nashangaa leo umetumia muda mfupi hewani" mtoto wake akajibu "ilikua wrong number"

Monday, September 19, 2011

Mlevi na mkojo

Jamaa alilewa, baadae aliposhtuka akahisi amebanwa na mkojo na alivyokua anakojoa huku anajamba mlevi mwenzie akumuliza "mbona unakojoa na kujamba jamba? naye akamjibu kuwa "uliona wapi mvua ikinyesha bila radi kupiga?? We mwendawazimu nini?"

Sunday, September 18, 2011

Jamaa wakati anajitetea baada ya fumanizi.... "Nisameheni jamani shetani alinipitia" Wakamuuliza "alikupitia wakati unaenda wapi?"

Friday, September 16, 2011

Trafiki polisi

Jamaa aliazima gari! Trafiki akamzimamisha na kumuuliza hili na lile kama vipo sawa isipokua fire extinguisher hakuiona. Akatozwa faini... Alipoingia kwenye gari kabla hajaondoka akaiona ilipokuwa akarudi kwa trafic na kumuambia "nimeipata haya nirudishie pesa yangu"

Nsaidie kutoa...

Mwanamke mmoja alimuambia mwanaume "kaka unaweza kunisaidia kutoa kitu kwenye chuchu zangu?"
Yule mwanaume akafurahia kweli na kumuuliza "ni nini hicho cha kutoa?" Mwanamke akamjibu "hayo macho yako ndio uyatoe"
Njemba moja iliagiza supu, wakati anapata hiyo supu mhudumu akamletea na vijiti vya kutolea nyama akishamaliza supu. Mhudumu kabla hajaondoka akamrudisha na kumuambia "dada virudishe hivi kaniletee vya baridi"

Thursday, September 15, 2011

Bia noma

Bar moja mtaa mmoja karibu na makazi ya watu siku moja mwanamke mmoja alikua anakimbizwa na mumewe. Ishu ilikua ugomvi wao, mwelekeo ulikua karibu kbs na meza ya wanywaji fulani.

Yule mama huku akikimbia "nisaidie nisaidie ataniua..." Wale walevi wao walichowahi ni kushika chupa na glass za bie pale mezani ikitokea kajikwaa zisimwagike.

Wednesday, September 14, 2011

Elimu

Baba: Mwanangu elimu ni ufunguo wa maisha!
Mtoto nae akajibu.
Mtoto: Najua baba sema sijakiona kitasa chenyewe.

Monday, September 12, 2011

Porini

Jamaa wawili walipata shida ya gari porini ikabidi waombe hifadhi kijijini. Giza lilipoingia wakapewa kachumba walale kilikua na silaha. Asubuhi wakasikia maongezi ya mke na mume wenyeji wao...

Mume: Tuwachinje wote au mmoja?
Mke: tumchinje mmoja kwanza, mwingine baadae.
Mume: Sawa ngoja tumchinje mmoja.

Masaa mawili baadae wakagongewa mlango na kuletewa wali kwa nyama ya kuku.

Porini

Jamaa wawili walipata shida ya gari porini ikabidi waombe hifadhi kijijini. Giza lilipoingia wakapewa kachumba walale kilikua na silaha. Asubuhi wakasikia maongezi ya mke na mume wenyeji wao...

Mume: Tuwachinje wote au mmoja?
Mke: tumchinje mmoja kwanza, mwingine baadae.
Mume: Sawa ngoja tumchinje mmoja.

Masaa mawili baadae wakagongewa mlango na kuletewa wali kwa nyama ya kuku.

Mahakama ya kizungu

Jamaa alienda kwenye mahakama moja huko majuu, kwa vile kizungu hakikuwa sawa sawa kwake palitokea minong'ono mikubwa mahakamani, hakimu akanena kwa kizungu kupata utulivu "Order... Order.." Jamaa kusikia vile akanena kwa sauti "Burger moja na soda tafadhali".

Kwa kimada

Jamaa ilipfika mida ya swala ya jioni akamuaga mkewe anaenda msikitini, kumbe anaenda nyumba ndogo. Huko alipewa huduma haswaa mpk alipomaliza akapitiwa na usingizi umeme ulipokatika!

Kuja kuhamaki saa tano usiku na missed call za mkewe, akavaa fasta fasta awahi home. Kufika ghafla umeme ukawaka akajikuta kavaa dela la nyumba ndogo akijua kavaa kanzu yake mbele ya mkewe.
Jamaa mmoja alisahau funga zipu ya suruali, akakutana na dada mmoja njiani na kumuambia "kaka samahani umesahau kufunga mlango wa gereji"

Yule kaka akajibu "ooh asante sana, umeona Prado imepaki?" Dada akajibu "hapana nimeona ka-starlet tu kana pancha tairi zote."

Sunday, September 11, 2011

Mbwa na Mke

Jamaa aliulizwa swali "mlango wa nyuma mbwa wako anabwaka, mlango wa mbele mkeo anapiga kelele ukamfungulie utamfungulia nani kwanza?"

Jamaa akajibu "mbwa" sababu ya msingi alinena "mbwa akishafunguliwa atanyamaza, mke wangu ataendelea na kelele.

Tawi

Jamaa mmoja alienda kwa rafiki yake kumuomba pesa kidogo alikua ana shida, maongezi yalikua hivi "ndugu yangu nna shida ya kwenda loliondo kwa babu hivyo senti kidogo nisaidie" mdau aliemfuata akamjibu "ohh! Tena kuna branch Namanga arusha umelisikia?

Friday, September 9, 2011

Story za hapa na pale

Vijana kadhaa wakati wanatwanga stories zinazohusiana na foleni jijini Dar es Salaam, mmoja akanena "jamani kama foleni zingekuwa zinapewa Award basi foleni ya Tazara ingechukua"

Thursday, September 8, 2011

Vibaka + Timing

Vibaka walishafanya mchakato wao woote kwenda kuiba vitu vya gari, walipofika eneo la tukio hawakuikuta hiyo gari waliyoivizia siku nyingi.
Walipoona bila bila wakaenda mpaka mlangoni kugonga, alipokuja mwenyewe mlangoni wakamuuliza "oya gari umepaki wapi? Umetupa usumbufu kubeba spana turudishie basi nauli yetu."

Gari imeibiwa

Mwanaume: Shenzi kabisa alieniibia gari yangu.
Mwanamke: Nani?
Mwanaume: Sijui nani? Hajaacha hata ki-note chochote.

Wednesday, September 7, 2011

Usahili

Jamaa mmoja alienda kwenye usahili (interview) inahusiana na computer, maswali yalianza kama ifuatavyo:
Msahili: Unaijua computer?
Msahiliwa: Ndio naijua.
Msahili: Unajua kuitumia?
Msahiliwa: Ndio na nna akaunti ya facebook na twitter.
Msahili: Ok, unajua ku-m-add mtu?
Msahiliwa: Ndio.
Msahili: Ukifika nyumbani uniadd na mimi.

Tuesday, September 6, 2011

Jinyonge...

Jamaa mmoja alienda porini kwa nia ya kujinyonga, akaifunga kamba yake vizuuri, ile anataka kutumbikiza kichwa kwenye kitanzi tu mtini hapo hapo akamuona nyoka... Kilichofuata alitimua mbio za kutosha.

Msaada kwa wakwe

Kijana mmoja alipelekwa na mchumba wake kwa wakwe! Kufika wakakuta baba anataka pelekwa hosptitali alikua amekabwa na chakula.
Kijana akanena naweza msaidia, akamuwekea vidole viwili puani na kumuambia akohoe kwa nguvu, mzee wa watu akapona.

Mke akanena "huyu kijana anafaa enhe?" Mume akamnong'oneza mkewe "laiti ungenusa vidole vyake tungemfungulia mashtaka dhidi ya mtoto wetu.".

Homework

Mwalimu aliwaachia wanafunzi zoezi la kufanya wakienda nyumbani aliwaambie "wakaangalie nini mama yao anafanya"
Kesho yake waliporudi dogo mmoja akaulizwa na akajibu "jana mama nilimuona nyonyeshwa na baba, hivi hadi wakubwa bado wananyonya?"

Monday, September 5, 2011

Radio ya gari

Walipanda watu watatu kwenye gari ya mwenzao, mmoja akamuambia aliekua anaendesha gari hiyo "kaka mbona radio haiwaki, tupo kimya sana" jamaa akajibu "tanesco bwana washakata umeme"

Sunday, September 4, 2011

Mswaki

Mke mmoja akimuambia mumewe jambo fulani kama ifuatavyo:
Mke: Mume wangu umepiga mswaki?
Mume: Bado, kwani lazima?
Mke: Sa si usafi wa kinywa jamani?
Mume: Haijaandikwa kwenye biblia lakini?

Thursday, September 1, 2011

Kituo cha polisi

Aliingia njemba kituo cha polisi na kusema "mkuu wa kituo wapi yupo? Na ndie anaemmendea mke wangu. Nimekuja kumshtaki kwa mkuu wa kituo".

Tuesday, August 30, 2011

RamliRamli

Jamaa mmoja alienda kwa mganga sasa ile kupiga ramli nk mganga akamuuliza sema shida yako, jamaa akanena "mekuja nna shida ya kulondoa giza la tanesco"

Mganga akamuambia baada ya kupiga ramli "kanunue jenereta shida yote itaisha, lisipowaka leta kuku watatu"

Monday, August 29, 2011

Story za kuku

Kuku A akimsimulia kuku B jambo kama ifuatavyo "wenzako Xmas iliyopita tulikula nyama ya kuku

Gari ngeni...

Baba akisimuliwa na mwanae "baba ukiondokaga kuna gari inakujaga, basi akiingia tu mama kwenye hiyo gari iiinaneesaa hiyoo mbona akipanda yako hainesi?"

Mke apokea simu

M'ke mmoja alipokea simu toka kwa mumewe (namba ngeni) akawa anajibu hivi (huku wote wakiwa ndani ya nyumba) "nipigie baadae hili fala lipo ndani saa hizi"

Mzee kwa dokta

Mzee: Dokta mkono wangu wa kushoto unauma sana!
Dokta: Usihofu ni hali ya uzee tu hiyo.
Mzee: Kama ndio hivyo mbona na wa kulia pia unauma?

Sunday, August 28, 2011

Lofa

Dogo mmoja aliingia saloon, kinyozi akawaambia wateja oneni huyu dogo ndio lofa kweli. Akachukua noti ya elfu 10 na 200Tsh. Dogo akachukua 200Tsh.

Kinyozi akanena, mnaona niliwaambia. Baadae mmoja wa wateja alikutana na dogo akamuuliza mbona hukuchukua ile elfu 10? Dogo akajibu "nikiichukua.tu mchezo utaisha"

Wiki 1 kuolewa

Msichana: Naolewa wiki ijayo, party itakua ya wachache na maalumu.
Mvulana: Ok! Utapendelea zawadi gani muhimu?
Msichana: Niletee mtu atakaenioa.

Kuwa nani maishani?

Mwanaume mmoja aliulizwa katika maisha yako unatamani kuwa kama nani? Akajibu "mende"
Alieuliza akashangaa na kuuliza kwanini?
Mwanaume akajibu "mke wangu anamuogopa sana mende kuliko mimi"

Nauli

Kwenye daladala jamaa alilipa nauli kwa kondakta. Kisha baada ya muda akamuambia konda "hehehe leo siku ya wajinga nlishalipa ticket hii hapa"

Saturday, August 27, 2011

Ratiba

Mpita njia: Haina haja ya kuwa na ratiba ya treni wakati kila mara inachelewa!
Injinia: Tutajuaje kama inachelewa kama tusingekua na ratiba sasa?

Samaki

Kijana mmoja alinunua samaki wawili wa kufuga akawapa majina mmoja A mwingine B. Rafiki ake akamuuliza "sa kwa nini umewapa majina hayo?" Akajibiwa "ili akifa A bado ntabaki na B"

Ujinga Ni...

1. Kujiita romantic na uko single.
2. Kukaa mbele kwa daladala alafu unaturn kwambia konda 'shusha' na umekaa na driver
3. Kutumia cursor kuscare mosquito itoke kwa screen ya comp.
4. Kureduce volume ya radio usome sms.
5. Kuruka line Angaza.
6.Kupigiwa simu halafu unaangalia balance yako after the call.
7. Kutafuta remote ya TV for 10 min, na tv iko a step away
8. KuDELETE namba ya ex wako na unaijua off head
9. Kubargain kitu kutoka 1000 hadi 500 alafu bado unapea muuzaji 5000 akupatie change
10. Kubuy beer ingine moja ukitegea fare ishuke hadi 200 ucku mkali
Jamaa na familia yake walienda kutoa mahari mida ya saa moja moja hivi kagiza kameanza kuingia, ghafla umeme ukakatika, mkwe akatamka kwa waliokuja kutoa mahari "pia tulisahau kujumuisha kwenye list ya mahari, jenereta pia linahitajika..."

Plastic Surgery

Dada mmoja mguu kwa mguu mpaka hospitali moja ya kukarabati sehemu za mwili ikiwepo sura yaani "plastic surgery" alipofika ikawa hivi:
Dada: Kufanya Plastic Surgery Shilingi ngapi?
Daktari: Inagharibu Laki moja taslimu.
Dada: Je, nkija na plastic langu bei itapoa?

Birthday.

Katoto ka miaka mitano siku ya kusherekea tarehe ya kuzaliwa kwake aliulizwa na baba ake anapendelea zawadi gani akajibu "nimezunguka sana sijapata size yangu, wewe ukipata ninunulie condom nne tu"

Bi. Kizee na uzee wake

Bi. Kizee mmoja alienda hospitali, akamkuta mwanadada mjamzito akamuuliza "mbona tumbo lako kubwa?"
Mjamzito akajibu "nina mimba"
Kizee: Ooh una mimba? Unamaanisha una mtoto?
Mjamzito: Ndio.
Kizee: Sasa kwa nini umem-meza?

Friday, August 26, 2011

Hii ya msalani

Ndani ya vyoo vya hoteli mlango mmoja kuna mtu na unaofuata una mtu wakikata gogo, jamaa mlango wa pili alianzisha maongezi ifuatavyo:

Mlango wa 1: Habari yako?
Mlango wa 2 akajibu bila kujielewa kinachoendelea "nzuri tu"
Mlango 1: Unafanya nini sasa hivi?
Mlango 2 bado akawa haelewi elewi akajibu "nipo nafanya kama wewe.."
Mlango 1: Naweza kuja?
Mlango 2 baado akazidi shangaa huku akijibu "hapana usije nipo bize"

Baada ya hapo Mlango 1 akasikika akisema "ngoja nitakupigia simu tena kuna mtu naona anajibu maswali sio yake"

Njemba hizi...?

Njemba mbili zilienza kwenye Pub, wakaagiza vinywaji kisha kila mmoja akafungua mfuko na kutoa burger na kuanza kula. Mhudumu akaja na kuwaambie "samahani hairuhusiwi kula burger yako hapa"
Njemba zikaangaliana wakatikisa bega na kubadilishana burger zao na kuendelea kula.

Karanga

Kizee kimoja kwenye daladala alimpa kondakta karanga, baada ya mda akampa tena zingine. Konda akauliza "we mbona huli?"
Kizee akajibu "sina meno" Konda akauliza "sa umenunua za nini?"
Kizee kikajibu "mi napenda chocolate iliopo juu ya karanga tu"

Darasani

Mwalimu akifundisha darasani:
Mwalimu: Wee Kelvin kwa nini unaongea darasani wakati nafundisha?
Mwanafunzi: Na wewe kwanini unafundisha wakati sijamaliza maongezi?

Kijana na mapenzi

Kijana mmoja alikua anampenda msichana mmoja ila akishindwa kumuambia. Siku moja akamtumia email na kumuambia "nakupenda sana" kisha akaituma. Punde akasikia kama kuna email imeingia. Akasamua asiisome aje aisome asubuhi iwe kama 'surprise' kwake.

Ilipofika asubuhi akaenda ili alisome akakuta ujembe umeandikwa hivi "Message sending failed due to insufficient balance! Please recharge your Account."

Thursday, August 25, 2011

Blackberry

Jamaa mmoja akitumia simu ya blackberry aliwatumia ujumbe wenzake kwenye mfumo wa kucha kama ifuatavyo "Warning: don't accept request from Muammar Gaddafi (218DE940) he is looking for a place to stay!"

Ubishi ubishi

Walikua wanabishana bwana, njemba moja ikanena "mi nlirudi usiku mkubwa wife akafungua mlango na nyodo, kumkomoa nikaamua kusimama mlangoni mpaka asubuhi na mpaka leo hatugusani"

Rafiki akamuuliza, "haiwezekani? Sa mtoto mmpempatia wapi?" Njemba ikajibu "mi nshasema simgusi mtoto itakua aliiba mimba ya mtu tu si bure"
Jamaa na rafiki zake wawili aleinda nao kwao, alipofika mlangoni mwenyeji akachomoa ufunguo wa mlango alipoificha rafiki zake wakimuangalia huku akinena "hapa ndio nafichaga ufunguo ila kesho nautoa hapa"

Tuesday, August 23, 2011

Ulevi noma

Mlevi mmoja mchana wa jua kali alikua tayari pombe mtu, akapanda daladala sasa lile joto na hewa nzito si akazomea ardhi (kutapika), baada ya hapo akamuambie kondakta "konda njoo udeki" punde kwenye foleni akaona bajaj nje ipo kwenye foleni mlevi akanena "wee dereva wa bajaj una ufagio?"

Sunday, August 21, 2011

Mbakaji

Polisi huku kamshikilia njemba moja wakiwa mbele ya jimama moja, polisi akamuuliza yule mama "huyu ndio kijana aliekubaka?"
Yule mama akajibu "Sijui labda arudie tena ndio ntamjua"

Mziki kwenye simu

Jamaa mmoja alienda kwenye party! Kuna mziki ambao upo kwenye simu yake ukapigwa na Dj kwenye hiyo party, akamuambia Dj "zima mziki mara moja" sekunde kadhaa 1 au 2 zikapita akasema "basi endelea kumbe anabeep tu"

Ikajirudia hivyo kama mara 3 hivi mwisho wa siku kumbe alikuja gundua kumbe ni mziki kwenye party na sio simu yake ikiita.

Saturday, August 20, 2011

Trafiki polisi alimsimamisha dereva mmoja mahojiano yakawa hivi:
Dereva: Afande nini shida na leo?
Trafik: Ohh wewe ndio nlikukamata jana enhe?
Dereva: Ndio mimi.
Trafiki: Na umelewa tena kama jana?
Dereva: Askari hii bado ni ile ile pombe ya jana nlikua sijaimalizia kwenye gari.

Friday, August 19, 2011

Mafuta darasani

Mwalimu akifundisha, kamuona mwanafunzi anapaka mafuta kichwani.
Mwalimu: Wee kwanini unapaka mafuta kichwani?
Mwanafunzi: Jana usiku nlisikia baba akimuambia mama paka mafuta kichwa kama haiingii. Napaka ili somo liingie.

Thursday, August 18, 2011

Mfanyakazi wa Mochuari

Mfanyakazi wa mochwari alikata dudu ya maiti moja ili akamuoneshe mkewe jinsi ulivyo mkubwa. MME: "hebu angalia dudu hii ilivyo mkubwa"MKE: "heeh zuberi amefariki"

Hii kali

Kijana mmoja alikuta ameweka kitu chenye rangi ya blue mdomoni alipoulizwa akajibu "we huoni vizuri? Si bluetooth"

Toroli

Jamaa mmoja alipata kazi ya kusafisha jiji na maeneo yake! Sasa kwa vile ni mgeni kazini, siku ile ile ya kwanza wakati anakokota toroli lake la kuzolea taka akalibandika ile stika yenye herufi "L" akimaanisha "Learner kama kwenye magari"

Cheka unenepe!

Wednesday, August 17, 2011

Siku ya siku

Baba alimkuta mwanae anachemsha maji kuuliza akajibiwa "baba mi mesoma havipandi hapa nachemsha madaftari ninywe maji yake tu, kesho mtihani"

Tuesday, August 16, 2011

Kazi ipo

Jamaa alimuuliza rafiki yake ampe ushauri kabla hajaingia kwenye dimbwi la kuitwa mwana-ndoa "eti kaka kitu gani cha kufanya mwanamke awe na furaha maisha ya ndoa"
Rafiki akamjibu "mpende sana mkeo na usijaribu kumu-elewa kuhusu wanawawake"

Miguu ya kuku

Mteja alipofika mgahawani akamuita mhudumu na kumuuliza;
Mteja: Una miguu ya kuku?
Mhudumu: Hapana ninayo hii hii yangu tu.

Girlfriend na Boyfriend

Boyfriend: Unataka niku-kiss?
Girlfriend: Hapana.
Boyfriend: Unakumbuka swali nlokuuliza.
Girlfriend: Unataka niku-kiss?
Boyfriend: Ndio, usisitizapo tu.

Monday, August 15, 2011

Mtihani ulivyokawa...

Msichana mmoja akimsimulia boyfriend wake;
Msichana: Ule mtihani ni kama girlfriend?
Mvulana: Unamaanisha nini kufananisha na girlfriend?
Msichana: Ngumu kumuelewa, complication, maswali mengi na majubu yake sasa huwa mhh!

Mlangoni

Mtu: We mtoto mama yako yupo nyumbani?
Mtoto: ndio. Jamaa akagonga sana hamna aliefungua.
Mtu: We mtoto si umesema mama ako yupo nyumbani?
Mtoto: Ndio yupo, hapa sio tunapoishi.

Inzi kwenye supu

Mteja: Mhudumu! Hii supu kuna inzi wawili wameingia...
Mhudumu: Usijali hawajui kuogelea watakufa tu.

Uoga huu....?

Mwanaume mmoja alisikika akisema "Mke wangu muoga kweli, hadi maji eti anaogopa" Mwenzake akamuuliza "kivipi?"
Njemba akajibu: Si kila nikirudi namkuta akioga na mlinzi wetu.

Kasichana & Kavulana

Ka-sichana: Unafikiri kwa nini Mungu alimuumba msichana kabla ya Mwanaume?
Ka-vulana: Alitaka kutengeneza copy ya mwanamke kabla ya final copy.

Sekunde 55

Mgonjwa: Daktari nina sekunde 55 tu kabla sijaaga dunia, nisaidie nisife.
Dokta: Nakuja nisubirie kwa dakika 1 tu.

Mvua.

Boss: Ally nenda kamuagilie maua muda umefika.
Ally: Boss lakini kuna mvua inanyesha nje.
Boss: Chukua mwavuli.

Sunday, August 14, 2011

India

Mvuta bangi anamuliza mlevi, "Eti, India iko mbali?"
Mlevi: "Sidhani, kwa sababu tuko na Muhindi mmoja kazini. Huwa anakuja kwa baiskeli kila siku!"

Meneja na Sekretari

Boss wa kampuni kamkuta meneja anampa mabusu motomoto sekretari wake akauliza kwa ukali "wewee nakulipa kufanya huu ujinga au?"
Meneja akajibu "hapana boss hii ni for free tu."

Mshahara oyee

Mzee aliporudi nyumbani mwisho wa mwezi swali la kwanza aliloulizwa na mkewe "haya mshahara uko wapi?"
Mume: Nimeshautumia wote, nimenunua kwa ajili ya hapa nyumbani!
Mke: Umenunua nini cha kumaliza laki tano yote?
Mume: Nimenunua raundi kumi za bia tuburudike...

Vimbwanga

Mlevi mmoja aliingia choo cha kike, akawa anakojoa huku amekaa chini mtu akamkuta na kumuuliza "vipi?" Mlevi bila hiyana akajibu "wee huoni tangazo limeandikwa kaa chini wakati wa kukojoa" (choo ni kile kukaa).

Saturday, August 13, 2011

Nani zaidi...

Mama alimuuliza mwanae. "Obama ni nani?"
Mtoto akasema "sijui".
Mama akasema "zingatia masomo."

Mtoto nae akamuuliza mama yake unajua "Jenifer ni nani?"
Mama akajibu "Sijui"
Mtoto akamjibu "Mzingatie sana mumeo!"

Friday, August 12, 2011

Pombe bwana

Jamaa mmoja baada ya ku-pombeka vya kutosha ugenini mkoa fulani nchini Tanzania alipangisha kwenye hoteli moja ya ghorofa kadhaa. Sasa baada ya kulewa chakari akapanda Bajaj na kumuambia dereva wa bajaj "nipeleke ghorofa ya tano"

Kizee kwa Daktari

Kizee kimoja kilienda kwa daktari wake na mkewe wote wazee. Dokta baada ya kumfanyia uchunguzi wa mwanzo dokta akamuambia babu "nahitaji mkojo wako, haja kubwa kidogo, na mbegu za kiume tufanyie uchunguzi"

Babu akamgeukia mkewe (bibi) nae bibi akamuuliza "nini?"
Babu akauliza "amesemaje dokta?"
Bibi akajibu: Anataka chupi yako.

Vimbwanga vya simu

Jamaa mmoja alimpa rafiki yake simu ili atume ujumbe mfupi maana alikua ana shida na hiyo huduma, jamaa alipompatia akampa na sharti "usiandike meseji ndefu sana wino umebaki kidogo sana"

Dawa ya kichwa

Kaka mmoja alienda kwa daktari, "dokta hiki kichwa chaniuma saaana karibu kila siku ipitayo" Dokta akamjibu ngona nikupe mfano, mimi kilinitokea miaka kadhaa nikamuomba mke wangu awe ananikanda kila siku halafu mwishoni nampa penzi murua kikaacha kabisa kuuma"

Wiki kadhaa mbele jamaa akarudi kwa dokta "aisee dokta umenisaidia sana, ile mbinu imenisaidia sana sana. Sasa nimepona" Dokta akajibu "safi sana"
Kabla mgonjwa wake hajaondoka akamuambia "...na dokta sebule kwako pazuri sana"

Monday, August 8, 2011

Nyani wa mzungu

Mzungu alipita na nyani wake mbele ya kigenge cha muuza ndizi, yule nyani akapora ndizi akala. Muuzaji akamkasirikia, mzungu akasema unakasirika nini wakati kala ndugu yako!

Mzungu akaondoka, aliporudi akuta nyani wake kafa. Akauliza kwa nini mmemuua nyani wangu? Muuzaji akajibu hayakuhusu haya mambo ya kifamilia!!

Sunday, August 7, 2011

Gari inaoshwa

Mzee mmoja alimuagiza mwanae mdogo wa kiume amuoshee gari yake akamuambia "itakate umesikia?" Baada ya muda baba mtu akatoka akamuona baba mwanae anaosha gari na maji ya moto kumuuliza dogo akajibu "si ili itakate baba"

Saturday, August 6, 2011

Mbwa mkali

Nyumba moja yenye geti na kibao kiliandikwa kama tangazo kuwa. "Mbwa mkali" usiku mmoja wezi waliingia kwenye hiyo nyumba wakamuiba na mbwa mwenyewe.
Jamaa alimuuliza mwenzake "ingekua vipi gari ukiipaki ndio unakula mafuta?"

Friday, August 5, 2011

USA waligundua mashine ya kukamata wezi:

USA ilikamata wezi 20 kwa siku.
UK ilikamata wezi 50 kwa masaa 10.
Germany ilikamata wezi 80 kwa masaa 6.
Sudan ilikamata wezi 200 kwa saa 1.
Nigeria ilikamata wezi 500 kwa dk 30.
Tanzania ndani ya dk 15 wakaiba na mashine yenyewe.

Mtishia mtoto

NILIKUWA kwenye basi natoka kazini narudi nyumbani, kwenye viti vya pembeni yangu kulikuwa na mama mwenye mtoto.

Wakati tunaendelea na safari yule mama alitaka kumnyonyesha mwanawe, mtoto akagoma, mama akamwambia nyonya, kama utaki nampa anko anyonye!"
 
Anko ni abiria kijana mwanaume aliyekaa na huyo mama.

Mtoto akanyonya kidogo akaacha, mama yake akamtishia tena kumpa anko.
Yule kaka kwa hamaki akasema,"mama uwe na msimamo, nimepitiliza vituo vinne kwa ajili hiyo!

Chabo

Jamaa wakipiga chabo! Ghafla polisi akatokea na kuwauliza "nyiee mnafanya nini hapo" wale masela wakageuka na kumuambia polisi "shhhhh...." Huku wakimuonyesha ishara ya aje na yeye kushuhudia, polisi nae akanogewa.

Wednesday, August 3, 2011

Bajaj - Kioo

Dereva mmoja wa bajaj niliona kioo cha bajaj yake cha mbele kimepasuka kwa pembeni mithili ya jiwe limevunja, kumuuliza kulikoni akajibu "wamenivunjia kioo wakaingia na kuiba laptop"

Wali nyama

Jamaa mmoja kila akienda kuagiza wali nyama anapewa nyama kidogo, siku ya pili akaenda na kuagiza nyama wali....

Monday, August 1, 2011

Umeme

Jamaa mmoja alimtumia msg rafiki "umeme wamekata"
Rafiki akajibu "sie tuna wiki sasa hawajakati"
Jamaa: Hata sie tangu wiki iliyopita.

Baada ya kama saa moja kupita yule aliemtumua msg rafiki ake akamuandikia msg nyingine tena "hee! Kumbe umeme luku umeisha!"

TV Set

Jamaa mmoja alienda nunua Tv baada ya kutajiwa bei akahoji "samahani hii si mnaiita Tv Set?" Muuza duka akajibu "ndio"
Mnunuzi akamalizia "sasa kama ni Tv Set mbona mwanuza moja?"

Friday, July 29, 2011

Polisi alimsimamisha Mzee mmoja akagundua kuwa amelewa huku akiendesha gari, akamuambia yule mlevi "shuka kwenye gari na usimame kwa mguu mmoja". Ili amjua kama stamina anayo au la!?

Yule mzee akamjibu "Askari nitolee wheel chair yangu nyuma kwenye gari kwanza"

Gundua

Jamaa mmoja alikua akinena "eti wazungu wamegundua mlima Kilimanjaro, kwa wachaga walikuwa wapi hapo awali?"
Kisha akaendelea kunena "juzi walimkamata mshkaji akiwa na gari isiyo yake, kumuuliza akajibu ameigundua kuwa ni gari lilikua limepaki"

Thursday, July 28, 2011

Kwenda nyumbani

Mwalimu alinena darasani
Mwalimu: Atakaejibu swali lifuatalo ndio ataenda nyumbani.
Mwanafunzi mmoja akatupa begi lake nje kupitia dirisha.

Mwalimu: Nani katupa begi nje?
Mwanafunzi akajibu: Mimi hapa mwalimu, naweza kenda nyumbani sasa?

Chizi na... Chizi na...

Jamaa alikua anachimba dawa (kubwa) kichakani, kidogo akatokea chizi ama kichaa na kumpora nguo zote. Kilichofuata jamaa akawa anamkimbiza huyo kichaa akiwa mtupu! Watu walishindwa elewa yupi kichaa kati yao wakabaki wakiwaangalia tu....

Watu wakasema wamepita machizi wawili hapa wanakimbizana lakini wa nyuma ndio anakichaa zaidi sababu amevua nguo.

Wednesday, July 27, 2011

Homework

Mwalimu alimuuliza mwanafunzi wake! "Wewe wapi homework niliyokupatia ufanya?"
Mwanafunzi akajibu "Mbona nishaifanya, nimei-upload facebook nikakutag angalia comments zinasemaje?"

Tuesday, July 26, 2011

Jamaa mmoja alisikika akilalamika "dah hili giza nchini mwetu si nimeoga maji ya kunywa badala ya yale ya kuoga!"

Mahari

Siku hizi kutokana na shida ya umeme kupamba moto ukienda kutoa Mahari unatajiwa jenereta.

TV

Wanafunzi shule ya msingi walipewa project ya kutengeneza luninga na vifaa vya nyumbani, Kila mmoja akatumia uwezo wake na akatengene za hiyo tv wengine wakatumia maboxi wengine debe za plastik nk

Mtoto wa SHAROBARO akaenda na karatasi ya A4 akaulizwa na wanafunzi wenzake "mshikaji hi tv kweli? Siutafeli hii project!" akajibu "plasma tv meen!!!"

Simu ya mke

Mwanaume mmoja alirusha kisu kuilenga picha ya mkewe ukutani, bahati mbaya akaikosa na kusema
"ooh I miss it"
Punde mkewe akapiga simu, Mke: Unafanya nini mume wangu?"
Mume akajibu "I missed you"

Monday, July 25, 2011

Majambazi kanisani

Majambazi walivamia kanisa, muda mfupi kabla sadaka zilitangazwa kua ni kiasi cha 15,750Tsh. Majambazi hayo yakaamuru kila mtu atoa alicho nacho cha thamani. Baada ya zoezi hilo zikatatikana takribani 7,000,000Tsh kisha jambazi mmoja wapo akasema "padre waumini wako sio kama hawana sadaka haya pesa hizi hapa tumekusa"
Wakampatia na kuondoka!

Maasai

Mmaasai mmoja alimuona rafiki yake akipita na dumu tupu, akamuuliza "rafiki naenda wapi na dumu?" Rafikie akajibu "naenda nunua maziwa ya ng'ombe"

Mmaasai kusikia vile akanena akimuambia rafikie "rafiki na tafundisha ng'ombe yangu kuusa masiwa"

Sunday, July 24, 2011

Nilikutana na watoto wawili wamebeba kisu na chumvi nikawauliza kulikoni? Wakanijibu "pale mbele kuna mti wa muembe, tukikosa kuna mwingine kwa mbele yake"
Jamaa mmoja alijenga nyumba maeneo ya uwashilini, siku moja alikua ghorofani kwako akachungulia nje akamuona mtu anaoga kwenye yale mabafu ya uswahilini passport, size akamuona mtu amejipaka sabuni usoni akiitafuta ilipodondokea jamaa ghorofani akanena kwa sauti " Sabuni ipo unande wako wa kushoto"

Saturday, July 23, 2011

Ndege

Katoto kamoja kalionda ndege inapita angani kakaanza kusema kwa staili kama ya kuimba "ndeege ndeege ndeege ndeege" akaskuti akahisi kama anakosea akabadilisha na kusema "airplane airplane airplane..."

Friday, July 22, 2011

Ratiba ya umeme

Jamaa mmoja anaefanya kazi shirika la umeme alimuuliza jirani yake "kwani wewe huna ratiba ya umeme mpaka ulalamike kukatwa katwa?"
Jirani nae akajibu, "ratiba yenyewe imetolewa copy, halafu kumbe si ya mtaa wetu ntajuaje sasa?"

Mume kafa

Mke alienda Jerusalem na mumewe ki-vekeshen vekeshen.
Mumewe akafa bahati mbaya, akaambiwa kusafirisha mwili itamgharimu dola 1,000 na kuzika nchini humo dola 100.

Akachagua kusafirisha, mchungaji akamuuliza "huoni ni gharama kubwa sanakusafirisha?"
Mke akajibu: Mara ya mwisho Yesu alizikwa hapa akafufuka siku ya 3, mi sitaki mume wangu afufuke"

Muda kurudi

Mwanamume mmoja akimuambia mkewe kwenye sms "mke wangu narudi nyumbani muda si mrefu namalizia bia ya mwisho, ukiona sijarudi bado soma tena msg hii"

Wednesday, July 20, 2011

Kampuni ya inshuarensi

Ajenti wa kampuni ya inshuarensi: Mzee, pia tunatoa inshuarensi ya uume.
Mteja: Mnafanyaje yani? Mna-replace na uume mwingine ama?
Ajenti: Hapana, inakua kama haufanyi kazi tena tunatoa huduma bure kwa mkeo.

Tuesday, July 19, 2011

Bilionea

Mvulana: Baba yangu ni bilionea na ana miaka 93, karibuni tu atakufa, je utakubali kuolewa na mimi?
Msichana akajibu: Hapana, sitaki.

Week baadae yule msichana akaolewa na huyo baba ake mvulana.
Mvulana akanena: Shenzi kabisa, usitoe wazo kama hili kwa mwanamke...

Msibani na siasa

Mwanasiasa mmoja alienda hudhuria msiba, na kwa vile alikuwa mtu maharufu eneo hilo alipata wasaa wa kunena jambo kuhusu rafiki yake marehemu hali ikawa hivi alipoanza kunena jambo "msiba oyee?"

Monday, July 18, 2011

Malaika

Mtoto mdogo wa kiume kamsimulia mama yake: 'Mama unafahamu kuwa dada (house girl) kumbe ni malaika? Mama kwanini unasema hivyo mwanangu?

Mtoto: Nilimwona akiwa uchi mkono ameshika ukutani akisema mungu wangu nakuja, nakuja kama baba asingekuwa amemshikilia kwa nguvu kwa nyuma angeweza kupaa juu mbinguni.

Vidonge

Mama mmoja alimuuliza mumewe "mume wangu zile dawa zangu zilizokua hapa ziko wapi?
Baba kabla hajajibu mtoto akadakia "mama nimempa mbwa wetu ameza nilisikia ukimuambia baba ni vidonge vya majira, mbwa wetu ana mabwana wengi vitamsaidia"

Sunday, July 17, 2011

Namba mpya

Mwanamke mmoja alimpigia mumewe na simu asiyoijua! Katikati ya maongezi mwanamke akamuuliza mumewe "unajua unaongea nani?"

Mwanaume kuogopa asije akataja baadae akaulizwa huyo mwanamke uliomtaja ni nani mumewe akajibu "naongea na Juma au?

Friday, July 15, 2011

Kwa mganga

Jamaa alienda kwa mganga, baada ya kufanyiwa tunguli za kutosha mganga akampa dawa ya kuila ili huyu alie na shida imsaidie!
Mpewa dawa akamuambia mganga "mganga hii dawa haina tatizo?"
Mganga akajibu "sijui, nenda kaijaribu. Kama haina madhara ntaitumia kwa wengine"

Betri low

Jamaa kaoa na ana kimada cha nje pia ikawa kila akipigiwa simu na kimada wake, mkewe huchukuwa sim na kuiweka kwenye charge sababu amelisave jina la huyo kimada wake BATTERY LOW!

Thursday, July 14, 2011

Kibweka msibani

Jamaa aliacha mpya msibani, alipofika na kukuta wafiwa wanalia akanena "msilie jamani marehemu kani-text muda si mrefu na yeye anakuja msibani"

Sharobaro

Masharobaro wengi walikufa gongo la mboto kutokana na majibu yao. Lala chini bomu hlo "ntachafuka men"
Panda lory" nasubiri taxi men
"Zima simu" naongea na baby men''
"Nenda uwanja wa taifa" naogopa mbu men!
Hayo ndo majibu wakati wa purukushan za kujiokoa.

Saturday, July 9, 2011

Idadi ya kuku

Mwalime: Wekesa nikukupatia kuku mbili tena baadaye nikupe zingine mbili kwa ujmala utakuwa na kuku ngapi?

Wekesa: Tano!

Mwalim : Kweli wewe mjinga

Wekesa: La hasha tiyari niko na moja nyumbani!

Wapi blauz?

Mama mwenye nyumba alipoitafuta blauzi yake bila mafanikio akamuuliza mfanyakazi wake (dada) wa ndani: "dada nguo yangu ya pink pink ipo wapi naitafuta siioni?"

Dada nae akajibu "sijui mama ipo wapi?"
Mama: Nimefanya makusudi kukuuliza nilikuona umeificha.
Dada: Na mimi pia niliificha makusudi.

Tuesday, July 5, 2011

Muwa, Uyoga na Ndizi

Muwa uliongea: Niangalie naonekana kama mti.
Uyoga nao: Niangalie naonekana kama mwavuli.
Ndizi nayo ikasema: Tubadilishe hili somo.

Cheka unenepe

Muwa uliongea: Niangalie naonekana kama mti.
Uyoga nao: Niangalie naonekana kama mwavuli.
Ndizi nayo ikasema: Tubadilishe hili somo.

Sunday, July 3, 2011

Mbwa na mzungu

Mzungu mmoja alikua anafanya matembezi ya jioni akiwa na mbwa wake akakutana na vibaka wawili, sasa kwa sababu ya mbwa kama wale wa polisi. Kilichofuata kwa vile wakiogopa mbwa walimuambia mzungu "we mzungu tunataka kukupora simu tunaiomba."

Mlo haraka

Jamaa alienda hotelini na rafiki yake wakaagiza chakula wakaanza kula:
Punde akamuuliza mwenzake, "mbona unakula haraka hivyo?"
Jamaa akajibu: Kabla sijapoteza hamu ya kula.

Mapenzi Mapenzi

Kabla ya ndoa, mwanaume atadanganya kuchelewa kulala akimuza mchumba wake au walichokiongea kuhusu mapenzi yao.
Baada ya ndoa: Mwanaume atalala usingizi kabla hujamaliza kuongea.

Siku ya uhuru

Jamaa alituma meseji kwa rafiki zake woote wa kwenye listi iliyo kwenye simu yake ya mkononi akiwatakia siku ya kufurahia uhuru wa nchi yao, meseji iliandikwa hivi "If you are married please potezea hii meseji, happy independence day"

Kushikana mikono

Jamaa mmoja alimuuliza mwenzake jambo "hivi kwa nini wapendanao wanashikana mikono wakati wanafunga ndoa?"
Jamaa mwenzake akamjibu "kawaida ni kama vile mabondia wanavyoshikana mikono kabla ya ngumi kuanza"

Maisha marefu

Mwanaume: Kuna njia yeyote ya kua na maisha marefu?
Dokta: Funga ndoa.
Mwanaume: Unadhani itasaidia?
Dokta: Hapana, itasaidia kupunguza mawazo ya kua na maisha marefu.

Homework

Mwalimu: Homework yako ipo wapi?
Mwanafunzi: Nimeipoteza wakati napigana na huyu hapa aliekisema wewe sio mwalimu bora hapa shuleni.

Mr. na Mrs.

Mwanaume alisimamishwa na trafik:
Trafik: Mzee unajua kua ulikua spidi sana?
Mwanaume: Hapana.
Mke: Nilimuambia mimi apunguze spidi mbishi.

Mume akimjibu mke: Kelele, hayakuhusu ntakunasa vibao sasa hivi.
Mke: Na leseni pia nimeimba wee hajachukua.
Trafik anaenda muuliza mke "eti mama anakujibu ivi siku zote?"
Mke akajibu: Hapana mpaka akiwa amelewa.

Malavi davi

Vizee viwili vilikua wapenzi kwa miaka mitano, siku moja mzee akatangaza nia ya kumuoa bibi. Siku iliyofuata akaamka asikumbuke jibu gani alipewa. Akampigia simu yule bibi ajue, bibi kwenye simu akajibu "afadhani umepiga, nakumbuka nilijibu ndio ila nilikua sijui nani niliemjibu hivo"

Saturday, July 2, 2011

Sumu

Jamaa mmoja alitengeneza sumu kisha akamuambia mwenzake ambae ni rafiki yake "aisee sijui kama hii sumu ni kali, ngoja niionje halafu kama sio kali niendelee kuitengeneza iwe kali zaidi"

Mwizi

Kibaka mmoja usiku alienda kuiba cha kuiba, akafika akafungua boneti ya gari akiwa anajua mwenyewe kichwani mwake anachokuja kuiba. Wakati ameishikilia boneti ya gari mikono yote miwili juu mwenye gari na nyumba alikua akimchungulia tu....

Kisha akamuuliza kupitia dirishani yule mwizi "ya kwaakoo?"
Kilichofuata yule mwizi aliachia boneti mbio alizotoka kwenye fensi ya michongoma sijui alipitaje maana geti lilikua limefungwa.... Ila alikimbia ukabaki unacheka tu picha nzima ikivyo kawa....

Thursday, June 30, 2011

Mchango wa harusi

Ofisi moja wakati wakati wanapitisha karatasi ya mchango wa harusi ya mfanyakazi mwenzao. Majina yalikua yameandikwa mpaka nyuma mmoja akauliza "haya majina mengine huku nyuma ni ya nini?"

Mwingine akajibu "haya ya mbele mchango wa harusi na haya ya nyuma mchango wa suti ya mwana harusi"

Kitambi

Jamaa mmoja alikua anamtania mwenzake mwenye umbo la kitambi mbele ya marafiki wengine, "ona huyu jamaa angu hata rangi ya mkanda haijui sababu ya kitambi, kama unabisha mwambie aangalie sasa hivi"

Dawa bandia

Jamaa: We kwa nini unapenda nunua dawa bandia bwana?
Mnunuaji: Mi ntajuaje kama bandia au sio sasa.
Jamaa: Si unauliza.
Mnunuaji: Bwana eeh mi nanunua ivo ivo Orijino bandia.

Tuesday, June 28, 2011

Wizi wa fedha

Jamaa watatu waliona gari inakuja mbele yao ina rangi ya bank fulani si wakaiteka. Wakati wanawauliza waliomo ndani "pesa ziko wapi! Pesa zikowapi" ndipo mmoja kati ya waliomo akajibu "jamani hii ni ambulance ya benk sio gari ya kubeba hela"

Monday, June 27, 2011

Uzunguni...

Jamaa mmoja alibandika tangazo lifuatalo "wife wanted" akimaanisha anamtafuta mke wake....
Siku ya pili alipokea barua za kutosha zikisema njoo umchukue wangu.

Huduma mbili

Jamaa mmoja alienda viti virefu, akanywa kinywaji chake kisha hali ikawa hivi:
Mteja: Bia nliyokunywa shilingi ngapi?
Mhudumu: Bia shilingi 300
Mteja: Enhe? Mbona bai rahisi ivo? Niitie boss wako.
Mhudumu: Jupo ghorofa ya juu na mke wangu...
Mteja: Anafanya nini na mkeo?
Mhudumu: Kama ninachofanya mimi kwenye biashara yake.

Saturday, June 25, 2011

Hesabu ya kichwa

Mtoto mmoja aliulizwa na baba ake "Dany kulikua na ndege watano ukampiga mmoja na bunduki watabaki wangapi?"
Dogo nae akajibu "hamna atakaebaki wataruka wote"

Kukosea email

Mwanaume mmoja alikosea email address wakati anamtumia mkewe bila ya yeye kujua akaituma ikaenda kwa mtu mwingine. Mwanamke mmoja mjane alipotoka kumzika mumewe akafika nyumbani na kwenda kusoma email za pole na rambi rambi alipofungua email akazimia! Mtoto wake kuja akawa anamnyanyua alipoisoma email akakuta imeandikwa hivi:
To: My Loving Wife
Subject: I’ve Reached Safely
Date: 21 st July, 2004.

Kuku wa kufuga

Dada mmoja kila alipoenda nunua kuku 100 siku mbili mbele anaenda kununua tena, mara ya tatu alipoenda akamuambia muuza vifaranga "itakua nakosea, nawapanda chini sana"
(Yaani akiwapanda kama mbegu za mahindi)

Siku mbaya

Jamaa mmoja alikua bar amekaa akiingalia glasi yake yenye kinywaji kwa zaidi ya nusu saa! Akatokea jamaa mmoja alikimuangalia akichofanya akaichukua na kunywa....
Mwenye bia akaanza kulia. Jamaa akamuambia "usijali takununulia bia ingine acha kulia"

Mwenye bia akaanza kunena "kazini leo nimefukuzwa, gari yangu pia imeibiwa, waleti nimeisahau kwenye taxi, nyumbanio mke wangu memfumania na house boy, na hapa umekunywa sumu yangu yote nliyotaka kuinywa......"

Mtoto wa nani?

Wakiiomba mahakama iamue nani anapaswa kuishi na mtoto.
MKE: Mtoto ni wangu nilibeba mimba miezi 9, nikajifungua na kumnyonyesha.
MUME: Akauliza; "hivi nikichomeka ATM card kwenye mashine ikatoa pesa, pesa ni za ATM au zangu niliyechomeka card?"
Hakim aliinama kwa aibu kisha mzee akapewa mtoto!.

Friday, June 24, 2011

Fundi kompyuta

Mteja: Fundi afadhali umekuja, laptop yangu inapata sana joto kupitiliza. Basi jamaa baada ya masaa kadhaa aliporudi akamuuliza fundi "enhe umelitatuaje tatizo?"
Fundi akajibu "nimeonelea niiweke kwenye friji ipoe kwanza"

Hesabu

Mama: Mkono mmoja nna machungwa 7 mwingine 8 je nna mangapi jumla?
Mtoto: Utakua una mikono mikubwa.

Glovu

Jamaa mmoja alivaa glovu (glove) mkono mmoja akaulizwa kulikoni nae akajibu, "kwenye utabiri wa hali ya hewa kwenye tv wamesema mkono wa kushoto kutakua na joto, mkono wa kulia kutakua na baridi"

Kwa umri huu....

Baba: We mtoto, Frank kwa umri wako alipata Fisrt Class degree. Wewe unasubiri nini?
Mtoto: Baba, Hitler katika umri wako alijiua wewe unasubiri nini?

Mlevi huyu mhh

Mlevi alipiga simu polisi: Gari yangu imeibiwa dashboard, gia, staring, accelerator hata break....
Polisi kabla hawajaanza kuja akapiga tena na kusema "ooh nimekosea kumbe nilikaa kiti cha nyuma"

Thursday, June 23, 2011

Mambo ya bafuni

Mtoto mmoja akimuambia mama yake, "mama mi naona unapataga shida, si umuambiage baba akusugue na dodoki mgongoni wakati wa kuoga kama baba anavyomsuguaga jirani yetu ukisafirigi"

Kutolewa mahari!

Jamaa mmoja alienda kwa wakwe kujitambulisha ili siku chache akatoe mahari.
Wakwe wakamuambia kwa mwanetu haina haja ya kutoa mahari uje tu umchukue.
Jamaa akawaambia "mmh! bure bure!? au mwanenu bomu lasubiri wa kumlipukia?"

Alfajiri mlangoni

Mwanamke mmoja alienda kufungua mlango, kumbe alikua mumewe ndio anarudi:
Mke: Haya alfajiri hii saa 12 ndio unarudi toka bar, umefuata nini?
Mume: Breakfast.

Mke mpenda zawadi

Mke alimuuliza mumewe,"Mbona siku hizi huninunulii zawadi kama pale kabla hujanioa?" Mume akamjibu "umeniona mimi kichaa? Tangu lini mtu akampa chakula samaki baada ya kumvua!"

Wednesday, June 22, 2011

Chuo

Mhadhiri mbele ya wanachuo darasani alinena "anaejiona yeye ni mjinga kuliko wote asimame" darasa likawa kimya kwa sekunde kadhaa punde mwanachuo mmoja akasimama. Mhadhiri akauliza "wewe ndio mjinga kuliko wote humu?"
Mwanachuo akajibu "hapana, nimeona umesimama peke yako muda wote"

Mtoto shuleni

Mtoto mmoja akimuambia mama yake "mama leo nimepewa adhabu kwa kitu ambacho sijakifanya" Mama yake akanena... "haiwezekani naenda huko huko shuleni... Kwanza umefanya nini shuleni?" Mtoto akajibu "sijafanya homework"

Kazi ni kazi

Unajua watu wanaishije mjini?
Watu wana kazi zinazowaweka mjini.
Kuna kikundi chenyewe kazi yao kukodiwa kwenye misiba kwa dhumuni moja tu nalo ni ''kulia tu'' huwa wanapata kwanza historia ya marehemu the rest yatafuata baada ya hapo...

Tuesday, June 21, 2011

Passport size

Jamaa mmoja alienda migration kufuatilia passport, moja ya swali aliloulizwa ni kama ana picha passport size mbili akajibu ''mimi nna moja'' akumgeukia rafiki yake na kumuambia ''aisee una picha moja uniazime niwe na mbili?''

Monday, June 20, 2011

Radio kwa fundi

Jamaa mmoja alipeleka radio kwa fundi, fundi akamuuliza ''nini tatizo la radio yako?''
Mwenye radio akajibu ''mtangazaji nimemsikia amesema ana mafua, itakua sijaipuliza vumbi muda mrefu kwa sababu.''

Saturday, June 18, 2011

Nasa kibao

Mwanamke mmoja alimnasa kibao jamaa.
Mwanaume alie karibu akauliza "mbona kukupiga kulikoni?"
Jamaa akajibu: Fulana yake usawa wa matiti imeandikwa gusa hapa. Ndio niligusa.

Jirani akichimba...

Jamaa alimkuta jirani yake anachimba shimo:
Jamaa: Vipi mbona umechimba shimo kwema?
Jirani: Samaki wangu wa kufuga amekufa.
Jamaa: Pole, sa shimo lote hilo kasamaki kale tu?
Jirani: Kubwa kwa sababu yumo ndani ya tumbo la paka wako.

Gari mbele mara nyuma

Gari lilikua linaendeshwa, ghafla likawa linaenda mbele mara nyuma, mpaka mtu mmoja akamuita trafic.
Dereva wa gari akanena: Doh afathali trafic umekuja. Nimeona mti mbele nkaogopa kuugonga, mbele kidogo nkaona mti mwingine. Nkaogopa kuugonga!
Trafik akanena: Mama sio mti ni hiyo Air Freshner yako hapo umeiweka kwenye dash board.

Manesi na utani kwa dokta

Manesi watatu walipanga kumtania dokta wanaefanya nae kazi.
Baadae wakakutana kila mmoja kumpa mwenzake mrejesho kila mmoja kamfanyia utani gani dokta:
Wa kwanza: Mi nliweka pamba kwenye kipimo cha kusikilizia mapigo ya moyo ili asisikie.
Wa pili: Mie yangu ndio kali, nimetoboa tundu condom zake zote.
Nesi wa tatu akazimia.

Jambazi kuvamia kanisa

Jambazi alivamia kanisani na bunduki akasema-haya wanaosema wanampenda Yesu wabaki humu ndani, wasiompenda watoke nje. Waumini wote kwa kuogopa kifo wakatoka nje. Ndani akabaki mchungaji na wazee wawili tu-Jambaz akamgeukia mchungaji akasema "mtumishi unaweza kuendelea na ibada, nlitaka kukuondolea wanafiki."

Kumsaidia mke

Jamaa::: Nashindwa kumsaidia mke wangu anakaa macho hadi saa 11 alfajiri kila siku. Mwenzake akamuuliza "anakua anafanya nini?" Ndipo jamaa akajibu "ananisubiri mimi nirudi toka bar"

Fundi na spana...

Chizi mmoja alichukua spana na kwenda benk mlangoni akakutana na mlinzi, akamuliza "unakwenda wapi na hiyo spana?" akajibu "nakwenda kufungua akaunti"

Friday, June 17, 2011

Usalama uwanja wa ndege

Jamaa mmoja alikua akikokota kitoroli cha 'airport akiwa na mabegi yake huku akiwa amevaa chupi, na singland yake, ikimaanisha mkanda, suruali na shati pamoja na viatu kavishikilia.

Askari mmoja akamuuliza "vipi mbona unatembea nusu uchi?"
Ndipo jamaa akajibu "ntavaa baada ya security check zote hapa airport, kuepuka usumbufu wa vua vaa vua vaa"

Mifupa mingapi?

Daktari mmoja akimuelekeza jambo mtu chumba cha daktari.
Dokta: Unajua kwenye mwili wa binadamu kuna mifupa zaidi ya 500.
Jamaa: Dokta! Shhhhh! Taratibukuna mbwa wawili wapo na wazungu hapo mapokezi....

Kukata roho

Mwanaume mmoja kabla hajakata roho akawa anamuambia mkewe "mke wangu nikuambie kweli kabla sijafa, nimetembea na wanawake wengi, nilikudanganya nitachelewa kurudi kumbe nilikua na wanawake....."
Mkewe nae akajibu "we unadhani kwa nini nimekuwekea sumu?"

Malavi davi

Mwanaume mmoja akimuandikia mpenzi wake email walieachana miezi kadhaa kama ifuatavyo "mpenzi wangu nakubali kosa nlilolifanya, naomba turudiane, nitakupa raha ya moyo, mawazo hayaniishi juu yako mapenzi kwako hayana mfano. Nakupenda sana na Hongera kwa kushinda mchezo wa bingo milioni 100"

Matatizo kwa Dokta

Mgonjwa: Dokta nahitaji unisaidie, nna stress, hasira hovyo na watu hata sijielewi nna nini?
Dokta: Haya nielezee tatizo linalokusumbua.
Mgonjwa: Dokta we mzima? Si nshaelezea kila kitu?

Mwanamke kwa dokta wa meno

Mwanamke mmoja kwa daktari wa meno wakati anang'oa jino yale maumivu ikabidi apeleka mkono wake kwenye korodani za daktari. Dokta akanena "mama samahani mkono wako umenishikilia ikulu" mwanamke nae akajibu "maumivu nnayoyapata hapa sasa tutaenda sawa"

Thursday, June 16, 2011

Nyoka

Mwalimu akiwaambia watoto kwenye darasa moja la english medium, "In this box, I have a 10-foot snake" bila kuchelewa katoto kamoja kakanyoosha mkono na kujibu "teacher, You can't fool me, Teacher... snakes don't have feet."

Huko jela...

Jamaa mmoja aliulizwa na mwenzake wakiwa jela:
Mfungwa: Imekuwaje umeletwa humu?
Mfungwa mgeni: Nilimpata farasi.
Mfungwa: Farasi ndio uletwe jela?
Mfungwa mgeni: Ndio, nilimpata kabla mmiliki hajampoteza!

He he he...

Kijana mmoja akimsimulia mwenzake jambo: "nilipokua mdogo nilikua nikisali nipate baiskeli, baadae nkaja gundua Mungu hajaniwezesha kupata. Hivyo basi nikaiba baiskeli na kusali ili nisamehewe"

Dawa ya kichwa

Mama mmoja mwanae alimuambia kua kichwa chamuuma sana hali ikawa hivi:
Mama: Mwanangu pole, kunywa dawa hii kitapoa tu.
Mtoto: Asante mama, dawa gani hiyo?
Mama: Hii panadol itakusaidia.
Mtoto: Itanisaidiaje wakati nikimeza inaeda tumboni badala ya kichwani sasa?

Mlevi kubatizwa

Mlevi mmoja alikua akipita eneo akaona watu wanabatizwa mtoni, akaenda mpaka eneo husika mchungaji akamuita ili ambatize. Akazamishwa mara moja na kutolewa:

Mchungaji: Kaka umemuona Yesu?
Mlevi: Bado.
Akazamishwa tena mara ya pili jibu likawa lile lile, mara ya tatu akaulizwa.

Mchungaji: Umemuona Yesu sasa?
Mlevi: Hapana, una uhakika kweli kaingia humu?

Wednesday, June 15, 2011

Kisiwa

Mwalimu aliuliza darasani "nani anaweza kuniambia kisiwa ni nini?"
Mwanafunzi mmoja akajitolea kujibu "kisiwa ni ardhi iliyozungukwa na maji pande zote kasoro moja tu"
Mwalimu akauliza "pande moja? ipi?"
Mwanafunzi akajibu "upande wa juu tu"

Siku ya kwanza shule

Mama: Umeionaje siku yako ya kwanza shuleni leo?
Mtoto: Ina maana na kesho naenda tena?

Vijiti (toothpick)

Jamaa mmoja mgeni mjini alitengewa chakula ugenini (uzunguni), meza ilipendeza msosi.
Baada ya kumaliza kula mwenyeji wake akamuuliza "kuna vijiti (toothpick) viliwepo hapa viko wapi?"

Jamaa akauliza "vile kwenye kichupa cha plastic?"
Mwenyeji akajibu "ndio ivo ivo"
Jamaa akajibu "mi nilijua vinaliwa na vyenyewe nimekula vyote"

Fluu

Askari mmoja alipiga chafya tatu mfululizo, boss mwenye nyumba anayolinda akamuambia "aisee taratibu usije wapatia vim-mbwa vyangu mafua"

Biashara matangazo

Mfanya biashara mmoja alienda kwenye mgahawa mmoja kupata mlo hali ilikuwa hivi:
Mfanya biashara: Juzi nilikuka nikapata pande kubwa la nyama, mbona leo kadogo hivi?
Mhudumu: Kwani ulikaa meza gani ulipokuja?
Mfanya biashara: Nilikaa pale penye lile dirisha kuubwa...
Mhudumu: Oh! Kawaida tunampatia mteja anaekaa pale ni sehemu nzuri ya kujitangaza mgahawa wetu.

Tuesday, June 14, 2011

Lift au kutembea?

Askari polisi wa barabarani wawili walikua wanaenda kazini:Askari wa kwanza: So tunapanda Basi au tunatembea kwenda job?Askari wa pili: Tusubiri tuone gari ya kwanza kufika....

Mapenzi yanapoisha...

Mwanaume akimuambia mkewe
Mume: Nikiondoka sidhani kama utapata mwanaume kama mimi tena maishani?
Mke: Nani kakuambia nataka mwanaume kama wewe?

Wapi hela?

Babu mmoja alikua anaishi peke yake, nyumba ya nyumba yake alitamani kulima viazi ila uzee ndio shida. Mwanae pekee yupo jela angemsaidia. Hivyo basi mwanae alimuandikia barua baba ake imeandikwa hivi "Baba zile hela nimezifukia numa ya nyumba, usifukue mpaka nitoke"

Siku ya pili askari walifurika eneo kufukua fukua bila kukuta kitu, mwanae akamuandikia baba yake barua ingine akiwa jela, "baba huo ndio msaada pekee nimekupatia haya panda sasa viazi"

Dogo akiomba msaada baada ya...

Katoto kavulana: Njoo haraka haraka kuna mwanaume anampiga baba angu zaidi ya dakika 20 sasa!
Polisi: Kwa nini hukuniambia awali?
Katoto: Kwa sababu baba ndio alikua anamdunda dakika chache zilizopita.

Happy Birthday Chekazone

CHEKAZONE IMETIMIZA MWAKA MMOJA TANGU KUANZA KWAKE.
NAWASHUKURU NYOOTE TULIO PAMOJA KIPINDI CHOTE HIKO.
TUENDELEZE MCHAKATO WA KUTABASAMU NA KUCHEKA.
CHEKA UNENEPE MAISHA NI MAFUPI SANA.

Wanaume Vs wanawake

Mwanamke mmoja aliwauliza wanaume wawili "intakuwaje mwanamke akitawala dunia?"
Mwanaume mmoja kwenye group akajibu "kutakua hamna vita, ila wivu utakua mwingi na baadhi ya nchi hazitaongeleshana"

Polisi na Dereva

Jamaa mmoja alisimamishwa na askari wa usalama barabarani:
Askari: Mzee unatambua kuwa ulikua spidi sana?
Jamaa: Ndio askari.
Askari: Unaharakia wapi?
Jamaa: Unajua nini! Mke wangu ametoroka na askari kama wewe. Sasa nikadhani ndio wewe unamrudisha.

Saprize

Mume mmoja alipanga kumfanyia mkewe Surprise!
Akanyoa nywele za kifuani zote, kufika home akaunganisha kitandani alipolala mkewe. Mke kumgusa akanena "oh shemeji umekuja saa ngapi?".

Hii ya siku mingi

Wodi ya vichaa walichorewa kuku ukutani, wakaambiwa wamkamate! Woote wakaenda kasoro mmoja tu.
Wakamuuliza we vipi mbona hendi mkamata akajibu "shhhh nataga"

Adhabu

Mwanafunzi: Mwalimu unaweza niadhibu kwa kitu ambacho sijafanya?
Mwalimu: Hapana kabisa.
Mwanafunzi: Ohh! Basi sijafanya homework bado.

Kufiwa

Mwanaume mmoja aliefiwa na mke siku moja mbele mvua kuubwa ikanyesha sana. Basi alipoiona ile mvua akanena "Itakua ameshafika mbinguni"

Bifu la majirani

Jirani 1 akimuuliza jirani wa pili "huyu mbwa wako ananikera sana, anamfuata mbwa wangu kila kukicha"
Jirani wa pili akajibu "we shida yako nini, mie nampaga condom kila siku kabla hajamfuata mbwa wako"

Tangazo tata

Mwanaume mmoja alikua anamtafuta mke wake asijue yupo wapi?
Akakutana na jirani yake na kumuambia "nimemuona mkeo kaja chukuliwa na boss wako" jamaa mwenye mke akajibu "ooh basi nsije katwa mshahara bure atarudi baadae"

Denti wa kiinglish

Mwanafunzi mmoja aliekua akijifunza lugha ya kiingereza kama lugha ngeni, sasa akawa amemkuta mwalimu wake wa kiingereza kasimama kwenye kinjia alichotaka kupita, kuonyesha kama ameanza ku-masta kimombo akenena ili apishwe "excuse me can I pass away?"

Bomu

Vijana wawili waliokota mabomu mawili, wakashauriana wayabebe kuyapeleka ama kuyarudisha jeshini. Mmoja akauliza "je moja likilipuka?"
Mwenzake akajibu "tutadanganya tumeokota moja tu"

Ngumii

Katoto kamoja kalimkimbilia polisi na kunena:
Mtoto: Askari kuna watu wanapigana palee...
Askari: Baba yako nani?
Mtoto: Ndio wanapigania hicho hicho.

Trafik polisi

Jamaa wawili walipanda pikipiki mbele kidogo wakaona trafik akionyesha ishara ya kuwasimamisha. Jamaa aliepakiwa kwenye pikipiki akamuambia dereva "sasa sie tushajaa ye anataka kukaa wapi au labda hatujafunga mkanda?"

Monday, June 13, 2011

5 + 5 = ?

Mwalimu aliuliza 5+5 jibu ni ngapi?
Alikataza kuhesabu vidole, basi dogo mmoja wa kiume akaingiza vidole ndani ya pensi ili ahesabu kimya kimya mwisho wa siku akaibuka na jibu "mwalimu jibu ni 11"

Meseji...

Jamaa mmoja alituma meseji kwa rafiki zake kama ifuatavyo:
"Wishing you happy independence day.
Oh sorry, this massage is only for singles..
Married people, please ignore it.."

Nani chizi?

Jamaa mmoja alikua yupo bar na palikua na kelele kweli, akanyakua simu yake ya kiganjani na kumpigia rafiki yake fulani aliyekua yupo tu nyumbani. Maongezi ya jamaa yalikua hivi:

Aliepo Bar: Haloo! Haloo! Sikusikii vizuri sijui upo kwenye makelele sogea palipo na utulivu.
Aliepo nyumbani akajibu: Mimi au wewe ndio yupo penye kelele?

Ugonjwa wa kusahau

Mgonjwa: Dokta nna ugonjwa wa kusahau.
Dokta: Limekuanza lini hilo tatizo?
Mgonjwa: Tatizo gani?

Siendi shule

Mtoto: Mama mi kesho siendi shule bwana.
Mama: Kwa nini mwanangu?
Mtoto: Mwalimu mwenyewe hajui kitu juzi katufundisha 9-4=
5, Na jana tena katufundisha 6-1=5...

Mke akinena...

Mke: Nataka nikuambie kitu ila usininase kibao.
Mume: Sema tu uwe na amani.
Mke: Nina ujauzito.
Mume: Sasa ulikua unaogopa nini?
Mke: Nilisemaga kabla hujanioa kwa baba akaninasa kibao.

Zama za ukoloni

Mwalilimu aliuliza swali darasani "tulitawaliwa toka wapi hadi wapi na wakoloni?" Mwanafunzi mmoja akajibu "enhe sina uhakika sana ila nnadhani ukurasa wa 60 mpaka wa 65"

Plani za ndoa

Msichana: Darling wangu tuki-oana nataka kushea nawe shida na matatizo yote na wewe.
Mvulana: Oh! Sawa lakina mimi sina shida wala matatizo yoyote ya kushea na wewe.
Msichana: Kwasababu hatujaona bado...

Nyumba ya watatu

Mke: Mume wangu ile nyuma tuliyopata tutaishi watatu badala ya wawili. Mume akajibu "ooh imekua baraka enhe safi sana"
Mke akamalizia "nakushukuru sana kwa kukubali, kuanzia kesho mama yangu ataishi nasi"

Tajiri wa wake

Tajiri mmoja alikuwa na wake wengi. Kudhibiti wafanyakazi wake akawawekea tego kwa wakeze ili mwanaume akitembea na mkewe naniliu inaliwa.

Aliporudi safari akafanya ukaguzi kwa wafanyakazi wake akiwafunua, kila aliyemfunua imeliwa. Wa mwisho akamkuta ipo safi basi akamsifu na kumwambia yeye ndie wa kuigwa.

Akamuuliza jina yule kijana akanyamaza na kujifanya kuongea kama bubu. Kumfungua mdomo kumbe ulimi umeliwa!

Sapraizi

Dokta akiaonge na mteja wake:
Dokta: Dah hongera umekua baba sasa.
Mteja: Tafadhali usimuambie mtu nataka kum-surprise mke wangu!

Ndoto ya panya

Dada: Baba tangu juzi naota panya anacheza tebo tenesi.
Baba: Usiogope ni kawaida tu.
Dada: Je nifanyeje nimeze dawa au?
Baba: Ya nini wakati leo ndio Fainali.

Darasa kuhama

Mwalimu: Haya wanafunzi kesho darasa litaenda kwenye juani..
Mwanafunzi mmoja akaonge: Mwalimu mi sitakuja.
Mwalimu akauliza "kwa nini?"
Mwanafunzi: Mama yangu hawezi niruhusu kwenda mbali kote huko.

Kaazi kweli kweli

Jamaa alipokua kwa daktari wa meno:
Mgonjwa: Dokta fasta nikatoe viatu vyoote sebuleni rafiki yangu anakuja leo home.
Dokta: Kwanini? Rafiki yako ni mwizi?
Mgonjwa: Hapana asije akavitambua viatu vyake.

Inzi kwenye supu

Mteja mmoja alimuita mhudumu ande alipo kwenye meza aliokaa!
Mteja: Hii supu uliyoileta kuna inzi amefia humu.
Weita: Yaah hawa hawajui kuogelea usijali

Kula kucha

Jamaa: Dokta mie nashindwa kuacha kula kucha je nifanyeje?
Dokta: Njoo nikusaidie, ning'oe meno yako yote itasaidia sana.

Kwenda Outing

Mume na mke walienda hotelini, punde mwanamke mmoja akamsalimia mume. Mke aka-mind na kuuliza "nani yule?"
Mume akamjibu: Tafadhali usini-disturb yule nae ataniuliza swali hilo hilo."

Watu wawili baa

Maongezi ya watu wawili wanaume:
Jimmy: "Umesema una mtoto wa kiume sio?
Hussein: Ndio.
Jimmy: Anavuta sigara?
Hussein: Hapana.
Jimmy: Anakunywa pombe?
Hussein: Hapana.
Jimmy: Anarudi usiku?
Hussein: hapana
Jimmy: Basi mwanao mtulivu sana, ana umri gani sasa?
Hussein: Ametimiza miezi sita sasa

6 x 7 = ?

Mwalimu: Haya nani anijibu 7x6 jibu ngapi?
Mwanafunzi: Jibu lake 42
Mwalimu: Haya je 6x7 jibu ni?
Mwanafunzi: jibu ni 24

Mhudumu na Mteja

Mteja kwenye restaurant moja akiongea na mhudumu "mhudumu, huyu kuku siwezi kumla niitie meneja wako"
Mhudumu nae akajibu "hata yeye akija hawezi kula huyo kuku"

Gazeti...

Mwanamke akimuuliza mumewe "kwa nini unaweka magazeti kwenye friji?" Mume akajibu: Yote yamejaa Hot News tuu.

Unataka kuwa?

Mwanaume mmoja aliulizwa " unataka kuwa nani?"
Nae akajibu "nataka kuwa mende"
Jamaa akamuuliza "mende? Kwa nini?"
Mwanaume akajibu "ili mke wangu aniogope

Kibweka

Girlfriend: Navyokupenda, nitakufa kwa ajili yako?
Boyfriend: How soon?

Ramani...

Mwalimu: Hellen shika atlas onyesha India iko wapi?
Mwanafunzi akaonyesha na kupatia.
Mwalimu akauliza darasa "nani kagundua India"
Wanafunzi wakajibu "Hellen"

Kengere ya mlango

Mwanamke mmoja alikua anamsubiri fundi aje kumtengenezea kengele ya mlango wa nyumba yake. Zikapita siku 4 bila fundi kutokeza, akampigia simu kujua tatizo fundi kwenye simu akajibu "nimekuja kwako siku 4 mfululiza nabonyeza kengele hamna anafungua mlango."

Utofauti kati ya....

Dada na jamaa mmoja walikua katika maongezi yao kama ifuatavyo:
Dada: Eti mwanamke akitembea na wanaume 3 wanamuita malaya. Ila mwanaume akitembea na wana wake 10 wanamuita mwanaume rijali.

Jamaa nae akanena: Kufuli ikifunguliwa na funguo tatu todauti wanaiita mbovu. Ila Funguo moja ikifungua kufuli 10 tofauti wanaiita master key.

Mzungu mgahawani

Mzungu mmoja alishindwa kula kwenye mgahawa mmoja na kumuambia mhudumu "waiter this food test funny" Mhudumu nae kimombo kinapanda kidogo akajibu "test funny? Why you are not laughing?"

Kwa Dokta

Mgonjwa: Dokta nna tatizo moja.
Dokta: Tatizo gani?
Mgonjwa: Nikionge na mtu simuoni.
Dokta: Imekutokea lini?
Mgonjwa: Kwenye simu.

Sunday, June 12, 2011

Dogo na maswali

Mtoto: Baba mbona tumbo la anti kubwa?
Baba: We nawe wajua kila kitu?
Mtoto: Hapana baba sijui kabisa.
Baba: Ok! Ni limejaa tu maji si kingine.
Mtoto: Hee! Sa mtoto si atazama kwenye maji?

Mchaga hospitalini

Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?"

Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono."
Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex?
Ipo mzee, nesi alijibu.

Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji.
Mgonjwa: Yeuwi... Wamefunga duka?

Mchaga hospitalini

Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?"

Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono."
Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex?
Ipo mzee, nesi alijibu.

Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji.
Mgonjwa: Yeuwi... Wamefunga duka?

Kichaa kapewa mimba

Jamaa alimpa mimba binti wa kichaga, Baba mtu akapanga kumuua jamaa.
Mwanye mimba akamfata mzee na kumwambia "Mzee punguza jazba, ni kweli mi ndiye nimempa mimba binti yako na kusema kweli sitamwoa ila akizaa mwanaume nitakupa Bilioni 1, akizaa mwanamke nitakupa milioni 58 na duka kariakoo"

Mwenye mimba akanena tena: "Je ikitokea bahati mbaya mimba ikaharibika itakuwaje ?"
Mzee akajibu: Aisee baba angu itabidi umpatie nyingine hamna jinsi!

Malavidavi

Katikati ya maongezi kati ya wapendanao wawili mwanaume akamuambia mchumba wake "Nitaenda mpaka mwisho wa dunia kwa ajili yako" ndipo mwenza nae akajibu "utakaa huko huko au utarudi?"

Kazi

Boss mmoja akiongea na mmoja wa wafanyakazi wake kama ifuatavyo:
Boss: Tunahitaji mtu atakaefaa kwenye hii nafasi ambae ni responsible.
Mfanyakazi: Boss unaemtafuta ushampata, nikipofanya kazi mwanzoni kitu kikienda hovyo tu wananiambia mie ndio responsible...

Maneno ya wapendanao

Mwanamke mmoja akimuambia mpenzi wake "njoo ndani ya moyo wangu wewe ndio wangu"
Mwanaume akajibu "nije na malapa au niyavue?"

Zoezi Darasani

Ndani ya darasa moja mwalimu alitoa zoezi waandike Insha kuhusu kiwanja cha mpira wa miguu anachokifahamu... Bahati mbaya ama nzuri mwanafunzi mmoja alikua kakaa tuu hafanyi lolote mwalimu akamuuliza "we vipi mbona huandiki chochote"

Ndipo mwanafunzi akajibu "kulikua na mvua kiwanja kimejaa maji talowesha karatasi yangu."

Gari na Gia

Baba alishindwa vumilia akamuuliza mwanae.
Baba: Khalid kwa nini ukienda kwa Hussein unatumia saa moja kufika ila kurudi watumia masaa manne?
Mtoto: Unajua nini? Kwenda gia ziko mpaka nne, wakati wa kurudi ipo gia moja tu.

Nani kaanza...?

Baba na mwanae wakiambia jambo:
Baba: Mwanangu safari hii upate japo maksi zifike 97%
Mtoto: Nitapata 100% kabisa nini 97%?
Baba: Embu acha utani kwanza....
Mtoto: Nani ameanza kwanza?

Kitabu kipi?

Mwanamke mmoja wakati anahojiwa aliulizwa swali lifuatalo "je! Unapendelea kitabu gani hasa katika maisha yako?"
Mwanamke akajibu: Cheque book cha mume wangu.

Gelfrendi na boifrendi

Gelfrendi: Nataka tuachane, nakurudishia vitu vyoote ulinipatia...
Boifrend: Ok! Anza na kisses zoote...

Gari au mwanamke?

Katika maongezi vijana fulani walikua wanaongelea kati ya gari au mkeo nani wampenda zaidi, jamaa mmoja akadakia "weweee gari ndio nalipenda, maana gari ndio litaleta mke (mwanamke)... si kinyume chake" wenzake walicheka sana.

Cha mwaka hiki...

Jamaa alienda kwenye party, pale mezani zikaletwa "tissue" wakati meza inaandaliwa si akazifakamia na kuanza kuzila akijua mkate mweupe, walipomuuliza akajibu mi niliona mikate yenyewe kidogo nkasema nianze kula haraka haraka...

Usichana unapoanza

Dada mmoja akimsimulia msichana mwenzake umri unafana fanana kidogo aliekianza usichana na urembo "napenda lipstick, ni nzuri na zina-test nzuri sana"

Siku iliyofuata yule mwenzake akarudi na kumuambia mwenzake...
"We ni muongo, nimenunua lipstick 10 na kula zote sio tamu"

Maisha ya ndoa

Mtoto mmoja alimuuliza baba ake, "baba nini siri ya ndoa yenye furaha?"
Baba nae bila hiyana akamjibu mwanae "bado ni siri mwanangu"

Za hospitali

Jamaa akimsimulia mwenzake jambo "tulipokuwa hospitali marafiki walikuja kuniona na kuniuliza 'how are you?"
Jamaa akaendelea kuonge tena "Walipokuja washkaji zangu wa karibu wakaniuliza 'vipi nesi wa ukweli?"

Saturday, June 11, 2011

Muchumba wa zamani

Mwanamke: Mume wangu unamuona yule pale alielewa mno?
Mume: Ndio, ni nani?
Mwanamke: Alikuwaga mpenzi wangu zamani, alikataa ndoa mi na yeye..
Mume: Ohh! Ndio maana anasherekea hadi leo...

Peni na Dokta

Mzee mmoja alimpigia simu daktari na kumuambia "dokta! Mwanangu kameza peni"
Dokta akajibu "tumia penseli wakati nakuja"

Baba mkwe na mkwewe

Jamaa alikwenda kwa ba mkwe wake kumpa shukran na ilikuwa hivii,
" baba nashukuru sana yaani umenipa mtoto mzuri, mtamu kitu yake ni swaafi kabisa!!"

Mzee akamjibu "sasa ungeonja ya mama ake ungechanganyikiwa."

Friday, June 10, 2011

Mkwe na Mkwewe

MAMA MKWE: "Binti samahani, ukweli mtoto hafanani na Kijana wangu kabisa"
BINTI: Mama bila samahani,huku chini nina njia ya Uzazi na sio Machine ya Photocopy.

Thursday, June 9, 2011

Kuoda vinywaji

Kulikuwa na akina kaka watatu pale bar:
Wa kwanza: Mhudumu niletee juice na glass.
Wa pili: Mhudumu mie naomba fanta na tissue.
Huyu wa tatu alikua mgeni kidogo mjini hali ikawa ivi....
Wa tatu: Mhudumu mie naomba niletee tissue ya baridi na glass.

Maasai

Mmaasai alinunua gari "manual gear" sasa akawa anamsimulia mwenzake wa umasaini kwenye simu "asee eloroi mekwisa nunua gari mekuta na rungu ingine ndani"

Mtoto mdadisi

Mtoto mmoja akimsimulia mama yake, "mama mtafutie baba kopo ka kutemea mate" Mama akiuliza kwa mshangao "koopo?" Mtoto akajibu "ndio mama maana kila ukisafiri. lazima atatema tu mate kwenye maputo kati ya mawili au matatu nayakutaga chini ya uvungu"

Msaada wa mmaasai

Mmaasai alikua akimuangalia driver wa bus akicheza na gear wkt wote wa safari. Abiria na dreva waliporudi toka lunch katikati ya safari wakakuta mmaasai kaichomoa gear yote kuulizwa na driver akajibu "mekusaidia kuing'oa meona saa nyingi we naangaika kuitoa"

Wagonjwa wa akili

Wagonjwa wa akili wawili walisimamishwa ghorofani kisha wakaambiwa wakojoe kuelekea chini.
Wa kwanza akasema "dokta parefu bwana mkojo wangu utaumia"
Wa pili akasema "naogopa wataudaka wapita njia na kunivuta chini bure nikafa"

Mlevi wodini

Mlevi mmoja alishikwa na homa kali ghafla, akapelekwa hospitali. Alipofikishwa wodini ili apewe mapumziko akakutana na walevi wenzake wanne nao wamelazwa jamaa akafurahi sana na kumuambia nesi aliyewepo zamu muda huo "nesi zungusha round ya tatu bill kwangu"

Mbu

Mbu mmoja alimkuta mwenzake amekaa kwa masikitiko akamuuliza mwenzake "vipi mbona huingii mzigoni leo?"
Mbu mwenzake akamjibu "dah nasikitika sana, nilijua leo nimepata mzungu kumbe mdoli bwana na sindano yangu imevinjikia"

Wednesday, June 8, 2011

Mume na mkewe

MUME: Vipi mpenzi leo umekula nini maana sikuacha hela ya mlo.
MKE: Tumeshindia mapera na shemeji yangu mpenzi, mimi ndio nilipanda juu ya mti.
MUME: Inamana shemeji yako alibaki chini ya mti.
MKE: Ndiyo.
MUME: Alitaka kuangalia chupi yako mi namjua mdogo wangu.
MKE: Unafikiri mi mjinga nilimshtukia nikaivua nikapanda uchi

Ka-herufi kamooja tu...

Jamaa mmoja ilimtokea hii, alisahau kuweka herufi moja tu "e" mwishoni mwa sentensi wakati akimomuarifu mke wake kwa sms akiwa safarini kikazi. Aliandika sms kwa mkewe kama ifuatavyo "I am having such a wonderful time! I wish you were her..."

Jamaa aliopoa....

Jamaa mmoja aliopoa na mabo yalikua hivi:
Msichana: Naomba nikuambie ukweli, mimi ni malaya najiuza usiku ili nipate hela.
Jamaa akanena na yeye: Usijali nitakupatia 15,000Tsh tukimaliza...

Baada ya kumaliza hali ikawa hivi:
Jamaa: Naomba nikuambie ukweli, mimi ni dereva taxi na nitakuchaji 15,000Tsh kukurudisha nilipokutoa.

Teja

Teja mmoja alikuwa anavuta bangi, ghafla akasikia sauti ya ajabu akauliza "nani wewe?" Akajibiwa "ni mimi israel mtoa roho" Teja nalo likajibu "Dah... umenistua kweli mi nilijua polisi"

Chumba cha upasuaji

Ndani ya chumba cha upasuaji wakati mgonjwa keshapasuliwa eneo husika dokta akamuambia nesi mmoja wapo kati ya waliopo ndani ya chumba cha upasuaji "Nesi nenda kwenye internet fungua surgery.com halafu peleka mpaka chini ukanisome sehemu imeandikwa "are you totally lost?"

Daktari na Mgonjwa

Mgonjwa mmoja alienda kumuona daktari wake na mazungumzo yao yalikuwa kama ifuatavyo:
Mgonjwa: Dokta mbona sipati nafuu?
Dokta: Ulifuata masharti ya dawa niliyokupatia?
Mgonjwa: Ndio, kwenye chupa yanasema "hakikisha chupa ya dawa umeifunga vizuri"
(Akimaanisha hajainywa kabisa).

Tuesday, June 7, 2011

Mende na binadamu

Mende mmoja alimuambia jamaa mmoja kabla hajamuua ''kabla hujaniua mie ndio nineweza mpigisha kelele mchumba ako kuliko wewe''

Mke na Mume

Mke alimuambia mumewe, ''niambie jambo moja litalonifurahisha na kuniudhi kwa wakati mmoja''
Mume naye kama utani akanena ''we ni mtamu zaidi kuliko wadogo zako wa kike''

Wagonjwa wa akili

Wagonjwa wa akili walipanga kutoroka hospitali.
Walipanga wamvamie mlinzi wampige watoroke.
Walipofika mlangoni wakakuta mlango wazi na mlinzi hayupo. Wakanena ''dah mpango wetu wa kutoroka ushafeli'' basi waka wakaghairi.

Password

Jamaa mmoja na mchumba wake walienda mtembelea rafiki yao. Ilipofika wakati wa kulala wakamuomba watumie simu ya mezani kupiga mwenyeji akawajibu ''ooh ina password''

Walipouliza kuhusu computer labda watume email wakajibiwa pia ina password. Mwenyeji akawauliza kama wataoga muda huo au la! Mgeni akanena ''hamna password bafuni?''

Mchaga mpirani

Mchaga mmoja mmoja kwa jina Masawe alikua anacheza nafasi ya goli kipa... Sasa wakati timu pinzani inakuja kushambulia Masawe si akamuona mtu anae mdai akaacha kuokoa goli lisiingie akakimbilia kumdai...

Bikini

Mtoto mmoja alimuona dada mmoja baharini amevaa vile vichupi nyenye asilima kubwa mfumo wa kamba ndipo mtoto akasema/akamuambia yule dada "dada makalio yako yanaitafuna chupi yako imeliwa yote nyuma"

Sunday, June 5, 2011

Nyonyo

Mama mmoja kwenye daladala mtoto wake wakati anakataa kunyonya akawa anamtishi mwanae akimuambia ''nyonya au sivyo ntampa huy baba pembeni'' mtoto ndio ananyonya.

Iliendelea hivyo kwa mara 3 ndipo yule baba nae akanena ''we mama make up your mind ilikua nishuke kituo cha pili kilichopita''

Saturday, June 4, 2011

Jela

Wafungwa watatu walipokutana jela hivi ndivyo kila mmoja alivyokua akimsimulia mwenzake:
Mfungwa wa kwanza: Nimefungwa kwa sababu niliua watu wanne.
Mfungwa wa pili: Nimefungwa kwa sababu niliiba bank.
Mfungwa wa tatu: Nimefungwa kwa sababu niliiba ghorofa. (ili aonekane na yeye sio wa kuja)

Kuchelewa shule

Mtoto akimjibu mwalimu "Mwalimu nimechelewa kwa sababu baba na mama walikua wanapigana, mama alikua anatumia kiatu changu kumpigia baba nilikua nasubiri wamalize nikivae nije."

Thursday, June 2, 2011

Mwalimu na mtoto

Mwalimu akimuuliza mtoto ''wewe jana ulisema mama yako anaumwa?''
Mtoto akajibu ''nilikosea kumbe alikua anaumwa mlinzi''

Babu na mjukuu

Babu akimuambia mjukuu wake ''jifiche mwalimu wako anakuja umetoroka shule leo''
Mjukuu nae akajibu, ''weewe ndio ujifiche nimemdanganya umekufa''