Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, September 21, 2012

Mjamaika na ndoa mpya

Mjamaika (Rasta) mmoja alikua anafanya mapenzi kwa mara ya kwanza na mkewe. Ghafla akasema kwa sauti kubwa na kutoka mbio chumbani alipokuwa, akarudi na maji kwenye jagi na kuamwagia eneo tamu la mkewe(Ukeni. Mke kwa ukali akafoka "watta gwan what you rasta man do that for?" Janaume likajibu (Rasta) "this thing too sweet me wanna dilute it. Remember am diabetic and sweet thing not good for me rasta man."

Dunia kwishneii

Kaka wakati anafanya mapenzi na dada ake waliponogewa dada akasema "Mhh Unan... vizuri kuliko baba" Kaka nae akanena "Hata mama nae kasema ivo ivo"

Vibweka vya mapacha

Mapacha wawili walipenda kula kuku na chips siku moja katika maongezi yao pacha wa kike akamuambia wa kiume "Kuku wameniambukiza manyoya." Pacha wa pili kiume akanena "nionyeshe" yule wa kike akamvulia na kumuonyesha akaona vinywele vimeota. Yule wa kiume akavua na yeye akisema "ona hata mimi wameniambukiza" Pacha wa kike anamalizia kwa kusema "Wamekuambukiza vibaya mpaka firigisi."

Kaaazii ipo...

Njemba baada ya kuchoka fanya kazi zake nyumbani akazima taa akalala. Punde akaona mtu kasimama pembeni akauliza "we ni nani chumbani kwangu" Akajibiwa "mimi malaika." Njemba ikauliza ina maana "nimekufa, mbona bado kijana nirudishe duniani bado nna nafasi..." Malaika akamjibu "labda tukurudishe kama mbwa au kuku, njemba ikaona bora kuwa kuku, akiwa bandani akaanza hisi anawashwa nyuma, jogoo akamuuliza "unajihisi kama unataka kutaga?" akajibu ndio. Basi jogoo akamuambia "chuchumaa utoe mayai utamie" Akawa anafanya ivo akijikamua ghafla akastukia kapigwa kibao na mkewe "wewe (kwa sauti ya ukali) ni nini unakunya kitandani?"

Thursday, September 20, 2012

Nani wa kuja kati ya...

Nani mshamba kati ya hawa hapa? 1. Aleenda shop kuulizia bluetooth. 2. Aliekula hotelini akaosha vyombo. 3. Alienunua Ice Cream akaipasha moto. 4. Aliemuamkia mtu kwenye TV. 5. Alieenda bank kununua sabuni.

Tuesday, September 18, 2012

Faini ya mwizi

Mume kamfumania jamaa fulani akifanya mapenzi na mke wake, akamtoza faini ya 500/= Yule jamaa akatoa fastafasta noti ya 1000/= Mume akasema,"Kesho njoo umgonge tena...mi sina change!!"

Hasira mmbadala

Mke alimwuliza mmewe "ambona mume wngu nikikuudhi huwa hukasiriki?" Mumewe akajibu "huwa ukiniudhi nachukua mswaki wako na kusugulia chooni"

Nani zaidi?

Jamaa: I love you sweet. Msichana: I love you too...ila tupendane tu,mambo ya ngono sitaki namtunzia mume atakaenioa. Jamaa: Hilo si tatizo,na mimi mambo ya kuniomba pesa sitaki namtunzia mke nitakaemuoa!

Wednesday, September 12, 2012

Kichaa jalalani

Kichaa mmoja alikutwa jalalani.
Jamaa akamuuliza wewe mbona ukohapa wakati wenzio wapomilembe?
Akajibu wale wako boding mimi nipo day

Thursday, September 6, 2012

Nani azaidi?

Jambazi kaoa mwanamke mchawi, mtoto alipozaliwa nae akawa changudoa. Swali ni je nani atabaki nyumbani usiku?

Mwizi wakati anatoka...

Mwizi mmoja aliingia nyumba moja kuiba, sasa wakati anatoka mtoto wa mwenye nyumba asiependa shule akamshika mguu na kumuambia yule mwizi "usipochukua na begi langu la madaftari ya shule napiga kelele"

Saturday, September 1, 2012

Kibaka na polisi

Polisi walikua wakimkimbiza kibaka usiku, kibaka kuona hivyo akakimbilia kunako makaburi.
Alipowapotea akavua nguo na kukaa juu ya kabuli, polisi walipofika akaulizwa "aroo hujaona kibaka akipita hapa?"
Kibaka akajibu "mie mwenyewe mgeni hapa nimezikwa jana tu, labda uwaulize hao waliolala."