Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 21, 2012

Baba na Bintie

Binti: Hi Baba Baba: Hi binti yangu? Binti: Nimempenda huyu mlinzi wa hapa nyumbani na nimeamua kutoroka nikaolewe nae Baba: Pumbavu kweli wewe unadhani nitashtuka? Safari njema na nisione sura yako tena hapa! Binti: Samahani baba... Nilikuwa nakusomea barua aliyoacha mama Baba: Umesema.????.!

Monday, June 18, 2012

Mlinziiii

Binti: Hi Baba Baba: Hi binti yangu? Binti: Nimempenda huyu mlinzi wa hapa nyumbani na nimeamua kutoroka nikaolewe nae Baba: Pumbavu kweli wewe unadhani nitashtuka? Safari njema na nisione sura yako tena hapa! Binti: Samahani baba... Nilikuwa nakusomea barua aliyoacha mama Baba: Umesema.????.!!

Mpenda mpira

Jamaa mpenda mpira kajichora tattoo mwilini mwake majina ya vifaa vya michezo, demu wake akawa anayasoma. kifuani NIKE pajani REEBOK, mgongoni PUMA kiunoni UMBRO matakoni FIFA, kwenye uume AIDS, msichana akashtuka kwa nini umeandika hapa AIDS jamaa akamwambia usiogope imelala tuu ikisimama patasomeka ADIDAS!

Jogoo

Jogoo alimkimbiza jike huku akiwaza nikimpata ataipata nikimkosa nitazuga nafanya zoezi, jike aliwaza nikisimama nitaonekana malaya nikikimbia nitalala na hamu ya kufanya.

Friday, June 15, 2012

Swali gumu

Mtoto alimuuliza baba ake aliporudi nyumbani akamuuliza "eti baba na wewe una nywele huku karibu na kitovu?" Baba kwa mshangao "wee mtoto umeona wapi hizo nywele?" Mtoto akajibu bila wasi wasi "baba mi meuliza tu maana yule anko anaekuja kwa mama ukiwa haupo nlimuona anazo"

Wazo la mtoto

Mtoto akimuambia baba yake pale sebuleni kwao palipokuwa na tanki dogo la kioo la kufugia samaki. Mtoto "baba mi naona kama hao samaki wana kiu si uwaekee maji ya kunywa!"

Tuesday, June 12, 2012

Kipigo icho

Mwanaume alienda kwa daktari wake ikawa hivi: Mwanaume: Dokta, mke wangu ananitwanga mangumi mno. Dokta: Kivipi na kwa nini haswa? Mwanaume: Mara zote anikutapo chumbani kwa house girl.

Semea mbovu

Mwanamke akimsemea mbovu bwana ake kwenye simu "mtu mwenyewe huna ishu, kwanza sio type yangu..." Mwanaume akajibu: Mpenzi wangu kwani vipi? Nipo bank kwa sasa... Mwanamke kusikia ivyo akanena "ohh mpenzi basi uje na laki moja nimeishiwa kitu..."

Sunday, June 10, 2012

Wazaramu

Wazaramu walimkamata mwizi wakamuweka mtu kati wakamsema weee mpaka mwizi akafa.

Wednesday, June 6, 2012

Faini ya kukojoa

Polisi alimdaka jamaa anakojoa pembezoni mwa ukuta. Polisi: Wewe unajua panakatazwa kukojoa hapa? Jamaa: Sasa nimebanwa nifanyaje? Polisi: Faini yake elfu tano. Jamaa akatoa noti ya elfu 10. Polisi: Sasa chenji tunaipataje? Jamaa: Tafuta chenji unipe changu. Polisi: Basi kojoa tena...

Wednesday, May 30, 2012

Ajali ilivyotokea

Trafiki polisi akihoji palipotokea ajali "ahaa! Sasa naanza elewa embu nielezee jinsi ajali ilivyotokea wewe ukiwa kama dereva mhusika." Dereva akajibu "hata sikumbuki nlifumba macho"
Mwanaume kwenye simu "dokta, mke wangu ameanza kuwa anafikira kama sungura...." Dokta akajibu "ihh mlete hospitali nimcheki. Mume akanena "dokta vyovyote itavyokuwa usimpe tiba lakini.

Dawa yake

Mume alizoea kila mara akirudi usiku ananyimwa unyumba na mkewe kwa kisa anaumwa kichwa. Siku mume akarudi na moja kwa moja akampelekea panadol mbili na maji, mkewe akanena "nani kakuambia naumwa kichwa?" Mume akajibu "yes nimekukamata leo"

Mshtuko wa moyo

Mume karudi akasikia sauti asiyoielewa toka chumbani kwake, akaenda na kukuta mkewe analalamika amepata mshtuko wa moyo. Mbio anaenda sebuleni kupiga simu kuomba msaada. Punde mwanae akaja "baba anko Jose kajificha kabatini kwako uchi" mzee mbio mpaka chumbani. Fungua kabati akamkuta ndio na kumuambia "wee mke wangu anapata mshtuko wa moyo we umejificha tu uchi humu unawatisha watoto, njoo tumpe msaada haraka."

4WD

Mwanaume alimnunulia pete ya almasi mkewe, rafiki akauliza "si ulisema anapenda gari yenye four wheel drive, mbona umenunua pete?" Mume akajibu "unadhani wapi ntapata rav4 feki?"

Ya leo mgonjwa

Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?" Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh? Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.

Sunday, May 27, 2012

Pombe basi

Cha pombe alikunywa sana pombe akataka ongeza mhudumu akamjibu "hapana imetosha sasa umekunywa saaana." Mlevi akajibu "nimeanza kunywa miaka 36 ilopita sijawahi jua kama metosheka wewe umejuaje?"

Kwa mama lishe

Jamaa kwa mama lishe baada ya kula wali nyama akaletewa vijiti vya kutolea nyama kwenye meno. Vilipofika tu mezani kwake akahoji "vimechemshwa hivi? Maana kipindupindu nje nje."

Saturday, May 26, 2012

Wasiwasi

Dogo akimuongelesha mama yake aliepo sebuleni yeye akiwa jikoni "mama!" Mama nae akaitikia "ooh mwanangu" Mtoto: Unaikumbuka ile sahani inayokupa wasiwasi isije niteleza ikavunjika siku moja. Mama: Ndio mwanangu. Mtoto: Basi wasi wasi wako umeisha leo.

Swali jibu tofauti

Mwalimu aliuliza wanafunzi wa darasa la 3 wakike kwa kiume "mlikuwaje hapo awali kabla hamjawa hivi mlivyo leo wanafunzi?" Mwali akisubiria jibu akitaraji watajibu "walikua wadogo" wanafunzi wao wakajibu "tulikua na furaha, wengine wakilia nk"

Home work

Mwalimu: Haya James iko wapi homework yako? Mtoto: Mwalimu ilmeliwa na mbwa wetu nyumbani. Mwalimu: Nimefundisha kwa miaka 18 sasa, unadhani nitaamini hilo? Mtoto: Ni kweli mwalimu nimemlazimisha mpaka kaila.

Friday, May 25, 2012

Mbio za ushindi

Baba: Wewe Japhet hiyo saa umeipata wapi? Mtoto: Neshinda mbio ndio nkaipata. Baba: Hizo mbio mlikua na akina nani? Mtoto: Alikuwepo polisi, mwenye saa na mimi.

Fala wa kwanza

Mume: Unaniambia walikutongoza wanaume wanne ili wakuoe? Mke: Ndio hivo hivo kama ulivyosikia. Mume: Bora hata ungeolewa huyo fala wa kwanza kati ya wote waliokutongoza. Mke: Ndio nlivyofanya hivyo.

Thursday, May 24, 2012

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ameripoti polisi akajibu "sijaripoti bado, mwizi mwenyewe hamfikii matumizi kama mke wangu"

Kifamilia zaidi

Mke na mume wakiongelea suala la fedha kifamilia: Mwanaume: Sikiliza isingekua fedha hii nyumba isingewepo. Mwanamke: Na wewe sikiliza isingekua fedha zako nisingewepo hapa.

Wednesday, May 23, 2012

Hii nayo

Mvulana: Nilimuita boifrendi wako shoga, si akanipiga na pochi yake.

Bia

Mama akisimuliwa na mwanae wa miaka saba "mama tulienda bar na dada, akajisikia vibaya na kushindwa kunywa bia yake. Ikabidi mimi ndio niinywe."

Tuesday, May 22, 2012

Jamaa alinunua friji jipya la zamani akaliweka nje na kuandika "friji hili ni bure nalitoa" zikapita siku mbili hamna alieamini yale. Siku ya tatu akaandika "friji hili lauzwa laki mbili" usiku wake likaibiwa.

Monday, May 21, 2012

Msaidie mwenzako

Jamaa mmoja alikua anamrekodi mwenzake kutumia video camera huku mhusika akicheza na moto. Ghafla moto ukashika shati la jamaa... Mpita njia akamuambia mwenye camera "wewee acha kamera muokoe mwenzako..." Mwenye Camera akajibu "kaniambia nimrekodi tu sasa mi nifanyaje?"

Saturday, May 19, 2012

Cheka kidogo

Njia rahisi kusahau matatizo yako (japo kwa muda mfupi) vaa viatu vinavyokubana.