Mwanaume mmoja aliulizwa " unataka kuwa nani?"
Nae akajibu "nataka kuwa mende"
Jamaa akamuuliza "mende? Kwa nini?"
Mwanaume akajibu "ili mke wangu aniogope
Karibu Sana.
Cheka Unenepe
Monday, June 13, 2011
Ramani...
Mwalimu: Hellen shika atlas onyesha India iko wapi?
Mwanafunzi akaonyesha na kupatia.
Mwalimu akauliza darasa "nani kagundua India"
Wanafunzi wakajibu "Hellen"
Mwanafunzi akaonyesha na kupatia.
Mwalimu akauliza darasa "nani kagundua India"
Wanafunzi wakajibu "Hellen"
Kengere ya mlango
Mwanamke mmoja alikua anamsubiri fundi aje kumtengenezea kengele ya mlango wa nyumba yake. Zikapita siku 4 bila fundi kutokeza, akampigia simu kujua tatizo fundi kwenye simu akajibu "nimekuja kwako siku 4 mfululiza nabonyeza kengele hamna anafungua mlango."
Utofauti kati ya....
Dada na jamaa mmoja walikua katika maongezi yao kama ifuatavyo:
Dada: Eti mwanamke akitembea na wanaume 3 wanamuita malaya. Ila mwanaume akitembea na wana wake 10 wanamuita mwanaume rijali.
Jamaa nae akanena: Kufuli ikifunguliwa na funguo tatu todauti wanaiita mbovu. Ila Funguo moja ikifungua kufuli 10 tofauti wanaiita master key.
Dada: Eti mwanamke akitembea na wanaume 3 wanamuita malaya. Ila mwanaume akitembea na wana wake 10 wanamuita mwanaume rijali.
Jamaa nae akanena: Kufuli ikifunguliwa na funguo tatu todauti wanaiita mbovu. Ila Funguo moja ikifungua kufuli 10 tofauti wanaiita master key.
Mzungu mgahawani
Mzungu mmoja alishindwa kula kwenye mgahawa mmoja na kumuambia mhudumu "waiter this food test funny" Mhudumu nae kimombo kinapanda kidogo akajibu "test funny? Why you are not laughing?"
Kwa Dokta
Mgonjwa: Dokta nna tatizo moja.
Dokta: Tatizo gani?
Mgonjwa: Nikionge na mtu simuoni.
Dokta: Imekutokea lini?
Mgonjwa: Kwenye simu.
Dokta: Tatizo gani?
Mgonjwa: Nikionge na mtu simuoni.
Dokta: Imekutokea lini?
Mgonjwa: Kwenye simu.
Sunday, June 12, 2011
Dogo na maswali
Mtoto: Baba mbona tumbo la anti kubwa?
Baba: We nawe wajua kila kitu?
Mtoto: Hapana baba sijui kabisa.
Baba: Ok! Ni limejaa tu maji si kingine.
Mtoto: Hee! Sa mtoto si atazama kwenye maji?
Baba: We nawe wajua kila kitu?
Mtoto: Hapana baba sijui kabisa.
Baba: Ok! Ni limejaa tu maji si kingine.
Mtoto: Hee! Sa mtoto si atazama kwenye maji?
Mchaga hospitalini
Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?"
Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono."
Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex?
Ipo mzee, nesi alijibu.
Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji.
Mgonjwa: Yeuwi... Wamefunga duka?
Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono."
Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex?
Ipo mzee, nesi alijibu.
Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji.
Mgonjwa: Yeuwi... Wamefunga duka?
Mchaga hospitalini
Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?"
Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono."
Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex?
Ipo mzee, nesi alijibu.
Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji.
Mgonjwa: Yeuwi... Wamefunga duka?
Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono."
Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex?
Ipo mzee, nesi alijibu.
Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji.
Mgonjwa: Yeuwi... Wamefunga duka?
Kichaa kapewa mimba
Jamaa alimpa mimba binti wa kichaga, Baba mtu akapanga kumuua jamaa.
Mwanye mimba akamfata mzee na kumwambia "Mzee punguza jazba, ni kweli mi ndiye nimempa mimba binti yako na kusema kweli sitamwoa ila akizaa mwanaume nitakupa Bilioni 1, akizaa mwanamke nitakupa milioni 58 na duka kariakoo"
Mwenye mimba akanena tena: "Je ikitokea bahati mbaya mimba ikaharibika itakuwaje ?"
Mzee akajibu: Aisee baba angu itabidi umpatie nyingine hamna jinsi!
Mwanye mimba akamfata mzee na kumwambia "Mzee punguza jazba, ni kweli mi ndiye nimempa mimba binti yako na kusema kweli sitamwoa ila akizaa mwanaume nitakupa Bilioni 1, akizaa mwanamke nitakupa milioni 58 na duka kariakoo"
Mwenye mimba akanena tena: "Je ikitokea bahati mbaya mimba ikaharibika itakuwaje ?"
Mzee akajibu: Aisee baba angu itabidi umpatie nyingine hamna jinsi!
Malavidavi
Katikati ya maongezi kati ya wapendanao wawili mwanaume akamuambia mchumba wake "Nitaenda mpaka mwisho wa dunia kwa ajili yako" ndipo mwenza nae akajibu "utakaa huko huko au utarudi?"
Kazi
Boss mmoja akiongea na mmoja wa wafanyakazi wake kama ifuatavyo:
Boss: Tunahitaji mtu atakaefaa kwenye hii nafasi ambae ni responsible.
Mfanyakazi: Boss unaemtafuta ushampata, nikipofanya kazi mwanzoni kitu kikienda hovyo tu wananiambia mie ndio responsible...
Boss: Tunahitaji mtu atakaefaa kwenye hii nafasi ambae ni responsible.
Mfanyakazi: Boss unaemtafuta ushampata, nikipofanya kazi mwanzoni kitu kikienda hovyo tu wananiambia mie ndio responsible...
Maneno ya wapendanao
Mwanamke mmoja akimuambia mpenzi wake "njoo ndani ya moyo wangu wewe ndio wangu"
Mwanaume akajibu "nije na malapa au niyavue?"
Mwanaume akajibu "nije na malapa au niyavue?"
Zoezi Darasani
Ndani ya darasa moja mwalimu alitoa zoezi waandike Insha kuhusu kiwanja cha mpira wa miguu anachokifahamu... Bahati mbaya ama nzuri mwanafunzi mmoja alikua kakaa tuu hafanyi lolote mwalimu akamuuliza "we vipi mbona huandiki chochote"
Ndipo mwanafunzi akajibu "kulikua na mvua kiwanja kimejaa maji talowesha karatasi yangu."
Ndipo mwanafunzi akajibu "kulikua na mvua kiwanja kimejaa maji talowesha karatasi yangu."
Gari na Gia
Baba alishindwa vumilia akamuuliza mwanae.
Baba: Khalid kwa nini ukienda kwa Hussein unatumia saa moja kufika ila kurudi watumia masaa manne?
Mtoto: Unajua nini? Kwenda gia ziko mpaka nne, wakati wa kurudi ipo gia moja tu.
Baba: Khalid kwa nini ukienda kwa Hussein unatumia saa moja kufika ila kurudi watumia masaa manne?
Mtoto: Unajua nini? Kwenda gia ziko mpaka nne, wakati wa kurudi ipo gia moja tu.
Nani kaanza...?
Baba na mwanae wakiambia jambo:
Baba: Mwanangu safari hii upate japo maksi zifike 97%
Mtoto: Nitapata 100% kabisa nini 97%?
Baba: Embu acha utani kwanza....
Mtoto: Nani ameanza kwanza?
Baba: Mwanangu safari hii upate japo maksi zifike 97%
Mtoto: Nitapata 100% kabisa nini 97%?
Baba: Embu acha utani kwanza....
Mtoto: Nani ameanza kwanza?
Kitabu kipi?
Mwanamke mmoja wakati anahojiwa aliulizwa swali lifuatalo "je! Unapendelea kitabu gani hasa katika maisha yako?"
Mwanamke akajibu: Cheque book cha mume wangu.
Mwanamke akajibu: Cheque book cha mume wangu.
Gelfrendi na boifrendi
Gelfrendi: Nataka tuachane, nakurudishia vitu vyoote ulinipatia...
Boifrend: Ok! Anza na kisses zoote...
Boifrend: Ok! Anza na kisses zoote...
Gari au mwanamke?
Katika maongezi vijana fulani walikua wanaongelea kati ya gari au mkeo nani wampenda zaidi, jamaa mmoja akadakia "weweee gari ndio nalipenda, maana gari ndio litaleta mke (mwanamke)... si kinyume chake" wenzake walicheka sana.
Cha mwaka hiki...
Jamaa alienda kwenye party, pale mezani zikaletwa "tissue" wakati meza inaandaliwa si akazifakamia na kuanza kuzila akijua mkate mweupe, walipomuuliza akajibu mi niliona mikate yenyewe kidogo nkasema nianze kula haraka haraka...
Usichana unapoanza
Dada mmoja akimsimulia msichana mwenzake umri unafana fanana kidogo aliekianza usichana na urembo "napenda lipstick, ni nzuri na zina-test nzuri sana"
Siku iliyofuata yule mwenzake akarudi na kumuambia mwenzake...
"We ni muongo, nimenunua lipstick 10 na kula zote sio tamu"
Siku iliyofuata yule mwenzake akarudi na kumuambia mwenzake...
"We ni muongo, nimenunua lipstick 10 na kula zote sio tamu"
Maisha ya ndoa
Mtoto mmoja alimuuliza baba ake, "baba nini siri ya ndoa yenye furaha?"
Baba nae bila hiyana akamjibu mwanae "bado ni siri mwanangu"
Baba nae bila hiyana akamjibu mwanae "bado ni siri mwanangu"
Za hospitali
Jamaa akimsimulia mwenzake jambo "tulipokuwa hospitali marafiki walikuja kuniona na kuniuliza 'how are you?"
Jamaa akaendelea kuonge tena "Walipokuja washkaji zangu wa karibu wakaniuliza 'vipi nesi wa ukweli?"
Jamaa akaendelea kuonge tena "Walipokuja washkaji zangu wa karibu wakaniuliza 'vipi nesi wa ukweli?"
Saturday, June 11, 2011
Muchumba wa zamani
Mwanamke: Mume wangu unamuona yule pale alielewa mno?
Mume: Ndio, ni nani?
Mwanamke: Alikuwaga mpenzi wangu zamani, alikataa ndoa mi na yeye..
Mume: Ohh! Ndio maana anasherekea hadi leo...
Mume: Ndio, ni nani?
Mwanamke: Alikuwaga mpenzi wangu zamani, alikataa ndoa mi na yeye..
Mume: Ohh! Ndio maana anasherekea hadi leo...
Peni na Dokta
Mzee mmoja alimpigia simu daktari na kumuambia "dokta! Mwanangu kameza peni"
Dokta akajibu "tumia penseli wakati nakuja"
Dokta akajibu "tumia penseli wakati nakuja"
Baba mkwe na mkwewe
Jamaa alikwenda kwa ba mkwe wake kumpa shukran na ilikuwa hivii,
" baba nashukuru sana yaani umenipa mtoto mzuri, mtamu kitu yake ni swaafi kabisa!!"
Mzee akamjibu "sasa ungeonja ya mama ake ungechanganyikiwa."
" baba nashukuru sana yaani umenipa mtoto mzuri, mtamu kitu yake ni swaafi kabisa!!"
Mzee akamjibu "sasa ungeonja ya mama ake ungechanganyikiwa."
Friday, June 10, 2011
Mkwe na Mkwewe
MAMA MKWE: "Binti samahani, ukweli mtoto hafanani na Kijana wangu kabisa"
BINTI: Mama bila samahani,huku chini nina njia ya Uzazi na sio Machine ya Photocopy.
BINTI: Mama bila samahani,huku chini nina njia ya Uzazi na sio Machine ya Photocopy.
Thursday, June 9, 2011
Kuoda vinywaji
Kulikuwa na akina kaka watatu pale bar:
Wa kwanza: Mhudumu niletee juice na glass.
Wa pili: Mhudumu mie naomba fanta na tissue.
Huyu wa tatu alikua mgeni kidogo mjini hali ikawa ivi....
Wa tatu: Mhudumu mie naomba niletee tissue ya baridi na glass.
Wa kwanza: Mhudumu niletee juice na glass.
Wa pili: Mhudumu mie naomba fanta na tissue.
Huyu wa tatu alikua mgeni kidogo mjini hali ikawa ivi....
Wa tatu: Mhudumu mie naomba niletee tissue ya baridi na glass.
Maasai
Mmaasai alinunua gari "manual gear" sasa akawa anamsimulia mwenzake wa umasaini kwenye simu "asee eloroi mekwisa nunua gari mekuta na rungu ingine ndani"
Subscribe to:
Posts (Atom)