Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, June 13, 2010
Baba na mama
Baba na mama walioana wakiwa na watoto wao kila mmoja toka alikotoka. Sasa siku moja watoto wao wakaanza kutwangana mangumi. Mkewe sasa wakati anamuita mumewe ilikuwa hivi:
''mume wangu.. Mume wangu... Wanao na wanangu wanapigana njoo haraka.''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment