Sunday, June 20, 2010

Changudoa

Jamaa mmoja alishalewa pombe za kienyeji, akanyanyuka kwenza kuimbisha changudoa mmojawapo kati ya waliopo sokoni siku hiyo. Si mbali na alipo hali ikawa hivi:

Mlevi: Haya leo bei gani?
Changu: Elfu tano tu mzee wangu.
Mlevi: Mbona Bei mbaya hivi na VAT umo umo?
Changu: Hapana ila biashara ngumu tu.

Mlevi: Si ufungue branch lingine pia? Vipi discount?
Changu: Discount mpaka xmas mzee wangu.
Mlevi: Saa hizi saa ngapi?
Changu: Saa tatu usiku.

Mlevi: Ndio maana bei ipo juu, basi ntakuja tena saa sita usiku...

No comments:

Post a Comment