Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, June 15, 2010
Cheti cha ndoa
Siku moja baba mmoja aliulizwa na mkewe:
Mke: Mume wangu ni muda mrefu umekaa hapo ukiangalia cheti chetu cha ndoa kulikoni?
Mume: Nilikua nakiangalia nkitafuta expire date.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment