Tuesday, June 29, 2010

Darasani matokeo

Mwalimu akiwaambia wanafunzi. ''kwa kweli sijaridhishwa na majibu yenu kwenye mtihani''

Mwanaftnzi nae akarukha na kujibu, 'hata sisi hatujaridhishwa na maswali'

No comments:

Post a Comment