Sunday, June 13, 2010

Fumanizi

Mwanamke mmoja alisikia kuwa mumewe ana mwanamke wa nje. Akaamua kwenda kununua pistol. Siku ya siku akabahatika kumfumania mumewe chumbani na kimada. Ikawa hivi:

Mwanamke akajilengesha ile pisto kichwani kwake,
Mwanaume: Mke wangu mke wangi tafadhali usijiue.... Ni shetani tu.....

Mwanamke: Nyamaza huko, you are next.

*cheka unenepe*

No comments:

Post a Comment