Sunday, June 13, 2010

Kimbwanga cha radio

Jamaa mmoja alikua na tabia ya kulala chini ya mti huku akipunga upepo na radio ikiongea pembeni yake.

Siku moja vijana (vibaka) wakam-time na kufanikiwa kuondoka na radio huku yeye amelala.

Alipokuja kuamka hakuiona radio, kilichofuata wakati anaitafuta mtaa wa jirani mambo yakawa hivi:

Mwenye radio akiuliza kila aliemkuta ''aisee umeona radio ikipita hapa?''

No comments:

Post a Comment