Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, June 27, 2010
Jani
Vijana wawili walikua wamekaa chini ya mti na ka-giza giza fulani. Mmoja akamuambia mwenzake.
''kama ningekuwa na tochi vile...'' jamaa mwenzake akamuuliza, ''kwa nini?''
Jamaa akajibu ''umekuwa ukila majani kwa dakika 20 sasa.''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment