Sunday, June 13, 2010

Kibaka kituo cha polisi

Jamaa mmoja alienda kituo cha polisi ili amuone mwizi alie ingia kwake usiku wa jana yake, kitioni polisi mahojiano yalikuwa hivi:

Alieibiwa: Naomba kumuona yule mwizi alievamia kwangu jana usiku.
Polisi: Utaonana nae mahakamani.

Alieibiwa: Tafadhali nisaidie nataka nimuulize amewezaje kuingia bila mke wangu kumsikia?
Maana nimejaribu kwa miaka mingi sijafanikiwa.

*cheka unenepe*

No comments:

Post a Comment