Wednesday, June 16, 2010

Kimemo

Jamaa aliagiza supu bar akaenda msalani, huku nyuma akaacha kikaratasi kimeandika ''nimetemea mate supu hii''

Aliporudi akakuta kikaratasi kingine kimeandikwa ''na mimi nimetemea mate''

From: Helena Sylvester

No comments:

Post a Comment