Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Thursday, June 17, 2010
Maji jikoni
Mtoto mmoja alitumwa na mama yake akaangaliie maji aliyoyaacha jikoni kama tayari yamechemka.
Yule mtoto alipoenda na kukuta maji yanachemka akamuita mama yake kwa sauti ya kupaza ''mamaa... Mama.. Maji yanaungua hukuu!
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment