Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Thursday, June 17, 2010
Malavi davi
Mke alipokuwa ameketi pembeni ya mumewe alimvua miwani yake ya macho na kumuambia ''ukiwa hujavaa miwani unakuwa yule handsome wangu alienioa''
Mwanaume nae akajibu ''bila miwani bado unaonaka huu mzuri na mrembo sana.''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment