Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, June 26, 2010
Mbio mbio...
Jamaa alifumaniwa na akatoka mbio bila nguo...kufika kwake mkewe akamuuliza vip?jamaa akajibu nimevamiwa na majambazi wamenipora kila ki2 mpaka nguo.mkewe akamjibu kweli hao majambazi kiboko wamekuvalisha mpaka condom..!! Tafakari!
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment