Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, June 13, 2010
Mume na mke
Mume: Kuanzia leo kauli yangu ndio ya mwisho ndani ya nyumba hii, nataka uniandalie chakula now, then maji ya kuoga.
Halafu jiulize nani atakaenichana nywele zangu?
Mke: Muosha maiti.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment