Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, June 13, 2010
Muuza mihogo...
Muuza mihogo mmoja alikamatwa na askari wa jiji wakabeba mihogo yote halafu wakatimua.
Ghafla askari mmoja akarudi na kumuamrisha yule mwenye mihogo ''we chumvi iko wapi?''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment