Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, June 19, 2010
Mwalimu mbele ya wanafunzi
Mwalimu wakati anaandika darasani ghafla akaingia mwanae wa miaka mitano (kwa vile hakai mbali na eneo la shule), kale katoto kalipongia kwa sauti kakasema ''maama... maama... nimemuona baba anamvalisha blauzi chumbani dada wa kazi.''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment