Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, June 14, 2010
Ndoa
Mwanamke mmoja akizungumza kwa hasira na mumewe ''kabla sijaolewa, nlikua naenda out na wanaume wa maana zaidi yako''
Mumewe akamjibu ''naamini hilo'' kwa hasira akasisitiza ''hata hivyo walikuwa na akili ya ziada kutofanya makosa nliyofanya''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment