Sunday, June 27, 2010

Ndoa

Maisha ndoa bwana.
Mwaka wa kwanza, mwanaume anaongea mwanamke anasikia.
Mwaka wa pili, mwanamke anaongea mwanaume anasikiliza.
Mwaka wa tatu, wote wanaongea majirani wanasikiliza.

No comments:

Post a Comment