Saturday, June 19, 2010

Pombe bwana...

Jamaa usiku mmoja aliamka kwenda kukojoa huku akiwa bado pombe, aliporudi chumbani akamwambia mke wake wa ndoa, ''mke wangu bafuni umefanya nini?''

Mke akauliza: Mh! Kwani vipi mume wangu?

Mume: Nimeshangaa ukifungua mlango taa inawaka ukifunga inazima.''

Mke akadakia ''shenzi we umekojoa kwenye friji.

No comments:

Post a Comment