Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, June 25, 2010
Shuka...
Mtoto mmoja alizoea sana kumtania baba yake, siku moja baba yake alikuwa amesimama nje uku amevaa shuka kama msuli vile.
Basi yule mtoto akamfuata na kumuambia ''baba hujafunga zipu...''
baba wacha ashtuke.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment