Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, June 18, 2010
Simu kwa dokta
Baba mmoja alimpigia simu daktari wake ili apate msaada wa haraka (huduma ya kwanza).
Mzee: Dokta mwanangu amemeza penseli yangu nifanyeje...
Dokta: Pole sana tumia peni.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment