Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, June 16, 2010
Unaikumbuka hii?
Famila moja ilikodi ndege kwenda vekesheni. Kwenye ndege watoto wakawa wanacheza na kelele, mama yao akafanya utaratibu.
Mumewe alipotoka msalani akauliza watoto wapo wapi? Mama akajibu 'wapo nje wanacheza humu ndani wanapiga kelele sana'
1 comment:
Anonymous
June 16, 2010 at 8:57 PM
duu iyo kal..hao watoto c walitoka na parashut co?
Reply
Delete
Replies
Reply
Add comment
Load more...
‹
›
Home
View web version
duu iyo kal..hao watoto c walitoka na parashut co?
ReplyDelete