Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, June 14, 2010
Ushamba
Jamaa mmoja alinunua gari. Baada ya siku kadhaa akaenda kwa fundi:
Mwenye gari: Fundi nimekuja nna swali kuhusiana na gari yangu.
Fundi: Oh, uliza tu.
Mwenye gari: Eti nnasikia nikiwa naendesha matairi yanazunguka?
Fundi: !
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment