Monday, June 21, 2010

Usiku na mtoto

Mtoto mmoja usiku aliamka na kujiona mpweke akaamua aende chumbani kwa mama ake.

Akamkuta mama yake kasimama mbele ya kioo uku akisema ''nataka mwanaume*3"

Usiku wa pili dogo akakuta yale yale.
Usiku wa tatu akamkuta mama ake na mwanaume.

Usiku wa nne akasimama na yeye mbele ya kioo na kusema ''nataka baiskeli*"

1 comment: