Sunday, July 4, 2010

Bar pombe changudoa

Jamaa mmoja alikuwa pombe vibaya. Alipokuwa club counter akamuona mwanamke mmoja na kumuambia ''nna laki mbili hapa, nitafanya chochote utachosema''

Mwanamke: Ooh, nipe sasa hivi kabisa.
Jamaa akampatia, kisha mwanamke akamwambia ''kanifulie nguo zangu''

No comments:

Post a Comment