Tuesday, July 6, 2010

Buchani...

Jamaa alienda nunua steak buchani. Alipofika muuza nyama wakati anajaribu kukata nyama hakuweza kufikia steak iliopo juu juu kidogo. Akamwambia mnunuaji ''samahani, njoo kesho ya leo ipo juu sana''

No comments:

Post a Comment