Friday, July 2, 2010

Chabo...

Kuna jamaa watatu walienda kupiga chabo (chungulia wakiofanya mapenzi) wa kwanza kachungulia fresh, wa pili na ivo ivo.

Wa tatu alipoenda kupiga chabo jamaa c akastukia mchezo, akachukua stick ya kuchomea mishkaki.

Si akamchoma jamaa alipokichungulia, jamaa aliechombwa akasema baada ''aah jamaa kastukia bwana kazima taa bwana''

No comments:

Post a Comment