Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Thursday, July 22, 2010
Changudoa
Polisi wawili walitibuka siku hiyo wakaanza kamata kamata vyangudoa wanaouza miili yao kwa ngono. Walipofika kwa mmoja wao akawajibu hivi "mimi siuzi ngono... nauza kondom na naruhusu majaribio kwa atakaenunua kila kondom"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment