Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, July 20, 2010
Darasani
Mwalimu aliwauliza wanafunzi darasani, 'nina machungwa saba nikitoa manne yanabaki mangapi?'
Mwanafunzi mmoja akajibu, 'yapo wapi?'
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment