Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, July 7, 2010
Dereva mlevi
Dereva mmoja alikuwa amelewa akawa anaendesha gari upande sio wake. Polisi akamsimamisha na kumuambia, ''huoni kuwa upo upande sio? Hujaona mshale pale?'
Dereva mlevi akajibu, ''mshale? Wa mmasai? Sijauona, nkusaidie kuutafuta!''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment