Wednesday, July 14, 2010

Gari ya polisi

Mama mmoja alikuwa speed akaipita gari ya polisi. Akamwambia mwanae aangalie nyuma kama gari ya polisi inawafuata.

Mtoto akajibu, ''ndio inatufuata!''
Mama: Je wamewasha taa zao za polisi?
Mtoto akajibu tena: Yes...No...Yes...No...Yes...!!
Kama ujuavyo king'ola...

No comments:

Post a Comment