Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, July 10, 2010
Kidhungu
Mtoto: Baba, shuleni mesikia mwalimu akisema 'idiot' maana ake nini?
Baba: Idiot ni mtu ambae anaelezea jambo fulani kwa urefu kwa mtu mwingine anaemsikiliza na bila huyo tu kuelewa. Unanielewa?
Mtoto: Hapana.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment