Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, July 19, 2010
Kuona mbali
Mzee kaenda hospital kupima macho. Dokta, ''mzee una tatizo la kuona mbali inabidi tukupe mawani.''
Mzee, ''uongo mi naona hadi mwezi, pale karibu?''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment