Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Thursday, July 15, 2010
Kupanda ndege
Jamaa mmoja mara ya kwanza kupanda ndege. Akamuita mhudumu wa kwenye ndege na kumuambia kabla ya kupaa ''samahani, kamuambie pailoti asipite njia ya tazara saizi kuna foleni sana.''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment