Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, July 10, 2010
Kwa dokta.
Jamaa mmoja alienda kwa daktari kujiezea...
Mgonja: Dokta nimeng'atwa na nyigu shingoni.
Dokta: Kunywa maji sasa hivi.
Mgonjwa: Yatasaidia?
Dokta: Hapana, ila yataidia kujua kama shingo imetoboka ikavujisha.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment