Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Thursday, July 15, 2010
Mabishano
Jamaa wawili wakitoka bar pombe imewajaa kichwani. Wakaanza bishana '' ule pale ni mwezi'' mwingine akasema ''lile ni jua''
Bahati nzuri mpita njia huyo wakamuuliza 'eti ule mwezi au jua?'
mpita njia akajibu 'samahani mi mgeni hapa'
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment