Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Thursday, July 22, 2010
Mapenzi, Faraja na Imani
Mtoto: Baba, nini tofauti kati ya MAPENZI, FARAJA na IMANI?
Baba: Labda nikujibu kwa mifano utaelewa zaidi....
Mama yako ni mke wangu MPENZI, huyu msichana wetu wa kazi ni FARAJA yangu, halafu nina IMANI kwamba mimi ni baba yako mzazi...!
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment