Monday, July 12, 2010

Mkalimani

Jamaa alikuwa anaangalia mechi kwenye tv. Akaomba apatiwe wa kumtafsiria kizungu kinachotangazwa. Akapatiwa.

Tena hapo hapo akaomba mtafsiri mwingine atakaekua akitafsiri mpira unavyochezwa uwanjani....

No comments:

Post a Comment