Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, July 6, 2010
Nyoka na story
Nyoka wawili walikuwa wakiongea na lugha yao. Mmoja akamuuliza mwenzake 'sisi tuna sumu?'
Mwenzake akajibu 'ndio, vipi kwani?'
Wa kwanza akajibu, 'nimejing'ata ulimi'
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment