Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, July 7, 2010
Panya
Kulikuwa na panya wawili mkubwa na mdogo.
Mkubwa: Leo inabidi utumie ile mbinu ya kung'ata halafu unapuliza umesikia?
Mdogo: Eh!
Mkubwa: Eh nini?
Mdogo: Si miguu ya yule mtu mi naogopa mafua inanuka sana.
Mkubwa: Panya haogopi mafua wewe alah...!
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment