Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Thursday, July 29, 2010
Shoga
Shoga mmoja mwanajeshi wakati yupo vitani akawa anabishana na mwanajeshi mwenzake, "we vipi unazubaa zubaa nini m-shoot huyo adui anazidi kuja karibu yetu?"
Ndipo yule shoga akamjibu "we humuoni alivyo mzuri vile, mi siwezi"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment