Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, July 2, 2010
Simu ya mkononi.
Jamaa mmoja alidondosha simu ikatumbukia kwenye choo. Akatoka mbio mbio mpaka sebuleni. Mkewe akamuuliza 'vipi?'
Jamaa akajibu 'simu'
mke akauliza, 'simu? Imefanya nini?
Jamaa: imetumbukia chooni, hebu niazime yako...'
Mke: ili uibeep au?
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment