Friday, July 2, 2010

Simu ya mkononi.

Jamaa mmoja alidondosha simu ikatumbukia kwenye choo. Akatoka mbio mbio mpaka sebuleni. Mkewe akamuuliza 'vipi?'

Jamaa akajibu 'simu'
mke akauliza, 'simu? Imefanya nini?

Jamaa: imetumbukia chooni, hebu niazime yako...'
Mke: ili uibeep au?

No comments:

Post a Comment