Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, July 23, 2010
Swali darasani...
Mwalimu mmoja darasani wakati anafundisha aliuliza swali ''Nani alihusika kwenye ule mlipuko wa ubalozi wa marekani Tanzania?''
Mwanafunzi mmoja akajibu, ''sio mimi mwalimu, kweli kabisa.''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment