Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, July 19, 2010
Talaka
Mwanamke mmoja alienda kwa mwanasheria kwa lengo la kutaka talaka.
M'sheri: Nikusaidie nini?
M'ke: Nahitaji talaka.
M'sheria: Kwa kigezo gani?
M'ke: Sidhani mume kama wangu ndio baba wa mtoto wangu.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment