Monday, July 19, 2010

Ubongo

Ubongo Uliingia Bar na kuagiza bia, Mhudhumu akamuambia "siwezi kukuhudumia."
Ubongo ukamuuliza mhudumu "kwanini usinihudumie?"
Ndipo Mhudumu akajibu "tayari umeshatoroka kwenye kichwa cha mtu"

No comments:

Post a Comment