Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, July 16, 2010
Umeona nini?
Mtoto mmoja wa miaka miwili aliulizwa na baba yake, ''umeona nini wakati unasafiri mwanangu?'
Mtoto: Meona miti na nyumba ikirudi nyuma na anko nani vile yule eti mama? Alikuwa akimshika mama mashavu mama akawa anainama chini.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment