Sunday, July 11, 2010

Wagonjwa wa akili

Daktari mmoja na wagonjwa wa akili watatu. Akawaambia ''atakae weza pita kwenye ule mlango bila kugusa na mikono ataenda nyumbani''

Wa 1: Mi nkifika pale kwenye mlango ntaruka kupitia kitundu cha funguo.
Wa 2: Mi ntaruka pia na kupita kwenye tundu la ufunguo bila kugusa.
Yule wa 3 Akaenda mpaka kwenye mlango akaangali na kujibu, ''mi siwezi ruka kwenye kitundu cha funguo kuna ufunguo.''

No comments:

Post a Comment